Diamond Platnumz atumia milioni 48Tsh kununulia Cheni ya dhahabu

Diamond Platnumz atumia milioni 48Tsh kununulia Cheni ya dhahabu

University_Promo

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2018
Posts
749
Reaction score
661
Soma hapa.
View attachment 1181648
Screenshot_2019-08-14-23-41-03.jpeg
 
Mil 48,hapa ningekuwa napigia hesabu ya Toyota Landcruiser Prado third generation TX,halafu kifuani ningeweka cheni ya 10,000 gold ya mchina ,huku nimefungua sunroof na mtu asingejua tofauti ya cheni yangu na yake....
 
Nipo congo huku thamani ya iyo cheni huku wanavaa wapuuzi flanii ivi ata mtaani awajulikani tanzania bado tuko nyuma km hilo pia nitukio la ajabu.
 
Yaani huyu kijana akili zake anazijua mwenyewe,anatumia 48M kununua cheni wakati anakaa nyumba ya kupanga?,madale kamuacha mama yake na kibenten wake
..kuna vitu vingine ni maamuzi tu usimfosi mtu afanye kitu unachopenda weww kama kaamua kupanga tu wewe unayempangia jinsi ya kutumia pesa zake ni nani labda!..unataka useme Mondi hawezi kujenga nyumba akaishi? huwezi jua labda kapenda kupanga tu kwa muda huu lakini wewe unamuhukumu tu
 
Back
Top Bottom