return or utility? So tushuhudie anguko?kama wewe ndio PRO wa huyu Diamond basi hasara tupu
By the way if is true nampongeza dogo aendelee kukaza buti maana now yuko kwenye peak and always the LAW OF DIMINISHING MARGINAL RETURNS huwa haiongopi...
kama wewe ndio PRO wa huyu Diamond basi hasara tupu
By the way if is true nampongeza dogo aendelee kukaza buti maana now yuko kwenye peak and always the LAW OF DIMINISHING MARGINAL RETURNS huwa haiongopi...
Mtanza wa kwanza
na huu ni mwanzo tu
kwa jinsi dogo anavyojituma tusubili uwakilishi na mambo mazuri toka kwake
ingekuwa vema wanaomsubiri ashuke ndio wapande, wakapanda tu sasa wakakutane huko juu ingeleta maana zaidi, sasa watu wamekomalia kumshusha kwanza daimond ili wampandishe wanaomtaka wao kana kwamba kiti cha mafanikio nipo kimoja tu pale juu, huu ni ulimbukeni uliopitiliza
Naona hii thread inaonesha wazi Ali Kiba anawatia kiwewe wabeba mabegi wa Wema na domo.
Davido amuwezi hata kidogo Diamond kwa performance acheni kupapatikia wasanii wa nje.