el nino
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,712
- 5,058
Katika tuzo za IRAWMA zilizokuwa zikifanyika nchini Marekani msanii "Diamond" amewapiga za uso wasanii Davido na Awilo na kuchukua tuzo ambayo walikuwa wamewekwa kwenye category moja.
My take...
huyu jamaa kama unamchukia basi utakuwa ni mwenye tabia ya kuchukia vitu tu pasipokuwa na sababu za msingi.......
Team ally kiba mpoooo??? ally kama tuzo za killi zinamshinda huu upepo wa kina Davido atauweza kweli maana mdogomdogo na Mwana zimetoka pamoja ila mdogomdogo ishaanza kuchukua tuzo hyo ya kwenu mwana vipi??
My take...

huyu jamaa kama unamchukia basi utakuwa ni mwenye tabia ya kuchukia vitu tu pasipokuwa na sababu za msingi.......
Team ally kiba mpoooo??? ally kama tuzo za killi zinamshinda huu upepo wa kina Davido atauweza kweli maana mdogomdogo na Mwana zimetoka pamoja ila mdogomdogo ishaanza kuchukua tuzo hyo ya kwenu mwana vipi??