Diamond platnumz, baba ni baba tu, rudi kwa baba yako

 
Unategemea kama chanza mama yako.Ulifutilia ukajua kua mama yako ni chanzo maana wamama wengi wanatabia mbaya sana kuwajaza sumu watoto wawachukie baba zao
 
Mbona ashamsamehe Jamani au nae anataka kaenda sauzi kuogelea kwenye maji yaliyohifadhiwa ndani hahahahha
 
Mihemko tu hapa naona uyo mzee anatumika vibaya nyie wazazi wenu mnawajali mlitaka atangazie uma kama kamsamehe alivomtelekeza aliwajulisha ya familia ziachieni familia nyie pendeni mziki wake mtamu inatosha mbona kutaka kumjua undani ale! lokonolo[emoji441][emoji442]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…