Diamond platnumz, baba ni baba tu, rudi kwa baba yako

Diamond platnumz, baba ni baba tu, rudi kwa baba yako

Kasome biblia vizuri wewe nyumbu usiwe unakurupuka tu mimi nimwombee mabaya ili iweje? Huyo diamond hanijui wala simjui kama familia yao imeparanganyika ni wao sisi tunashauri tu sasa wewe ni nani mpaka unashoboka hivyo? Au ni hawara yake? mimi nimekua kwenye maadili usinifananishe na hizo familia za mtaani plz

Hahahhahah kaka samahani...kupaniki huko VEPEEEEE😛😛😛😛🙂🙂🙂...
Kama ulivyosema mwenyewe bila kuandikiwa kwamba humjui hakujui kama familia yao imeparaganyika ni wao SASA WEWE HUO USHAURI KAKUOMBA NANI MWENZETU? Halaf umeniambia nashoboka wewe ushauri hujaombwa umeutoa na uskute hakuna hata ndugu yake Diamond humu ndani wa kumfikishia habari, hizo shobo zako VEPEE? Si uende wasafi records au madale ugonge upewe maji kisha uanze kutoa ushauri huoni utakua umewasaidia sana??? PLUS kama ungekua umekuzwa kimaadili usingekua una uwezo wa kutumia maneno kama nyumbu, hawara ku address your fellow human. Wazungu wanasema you ain gotta tell them just show them. Sasa wewe kwenye kushow ushafeli😀😀😀. Wa mataani tu? hahahaha
Uwe na siku njema mtoto wa maadili LOL
 
Hata mm ilinichukua muda sana kumsamehe baba yangu ingawa bado mpaka leo anaishi na mama. Baba ambae hafanyi majukumu yake kwa mtoto wanaumiza sana watoto kisaikolojia. Naelewa jinsi diamond anavyojisikia kuhusu baba yake. Inahitaji neema kumsamehe irresponsible father.
Unategemea kama chanza mama yako.Ulifutilia ukajua kua mama yako ni chanzo maana wamama wengi wanatabia mbaya sana kuwajaza sumu watoto wawachukie baba zao
 
Mbona ashamsamehe Jamani au nae anataka kaenda sauzi kuogelea kwenye maji yaliyohifadhiwa ndani hahahahha
 
Mihemko tu hapa naona uyo mzee anatumika vibaya nyie wazazi wenu mnawajali mlitaka atangazie uma kama kamsamehe alivomtelekeza aliwajulisha ya familia ziachieni familia nyie pendeni mziki wake mtamu inatosha mbona kutaka kumjua undani ale! lokonolo[emoji441][emoji442]
 
Back
Top Bottom