Diamond platnumz, baba ni baba tu, rudi kwa baba yako

Diamond platnumz, baba ni baba tu, rudi kwa baba yako

acha akipate cha moto,ubaba hauishii kumwaga sperms tu,ubaba ni malezi,kama baba hakuwepo pindi diamond anamuhitaji the most,why diamond awepo kwenye maisha ya baba yake now?Diamond hakuna kurudi nyuma na kumsamehe siyo lazima umsaidie
Mumeo kazi anayo......
 
Amsamehe kwa lipi wakati alimtelekeza?
Hilo hilo la kumtelekeza ndio anatakiwa asamehe. Mkuu msamaha sio kwa ajili ya unayemsamehe tu, bali na kwa ajili yako pia. Unapomchukia mtu kuna kitu ndani ya moyo wako unakuwa imekibeba kama mzigo. Na utakuwa nacho maisha yako yote. Sasa kwa nini uendelee kubeba mzigo ambao unaweza kuutua?
 
acha akipate cha moto,ubaba hauishii kumwaga sperms tu,ubaba ni malezi,kama baba hakuwepo pindi diamond anamuhitaji the most,why diamond awepo kwenye maisha ya baba yake now?Diamond hakuna kurudi nyuma na kumsamehe siyo lazima umsaidie
Victoire pls, remember two wrongs don't make a right!
 
Umesahau hesabu za logic?
Mkuu mie kwenye hesabu nilikuwa KILAZA, sasa hiyo logic za hesabu nitazikumbukaje? Mimi kwa kweli sihitaji hesabu za logic kumsamehe mtu aliyenikosea! Nitamsamehe tu, acha hizo hesabu zibaki na logic zake!!
 
fala tu.kwani kajizaa mwwnywe inaweza bi mkubwa ndio alikua kivuruge.awwzi ona pepo kwa kuwatenga wazazi
 
Mbona mara kadhaa wa kadha aliweza msamehe Wema anashindwaaje msamehe baba yake mzazi,if he real believe in God forgiveness is a blessing.
akili ni nywele ndugu.wema anaweza kua bora kuliko baba.changanya na zako
 
gosh!!!!!!!!!!
ina maana walimfanyia interview baba akiwa kalewa?
nani aliye wapa kibali icho? hakya mama kama ndivyo diamond akawashtak. imagine inabaki kwenye archives zao for years.......hii ni nini?
Sidhani kama ana guts za kuwashitaki maana wasanii fulani wanadhani bila watu fulani basi wao si chochote hata wakiwakosea...interview ile ilikuwa inawadhalilisha wao..
 
Time not yet
Yaani inaumiza mno. Mtu ambae amepata bahati ya kupata mapenzi ya baba hawezi akaelewa ni jinsi gani Diamond anajusikia kuhusu baba yake. Ukikumbuka mama yako alivyoteseka kukutoa katika shida huwezi muelewa baba yako sasa akijirudi. Ila ipo siku atamsamehe baba yake na maisha yataenda. Ni suala la wakati.
 
Yaani inaumiza mno. Mtu ambae amepata bahati ya kupata mapenzi ya baba hawezi akaelewa ni jinsi gani Diamond anajusikia kuhusu baba yake. Ukikumbuka mama yako alivyoteseka kukutoa katika shida huwezi muelewa baba yako sasa akijirudi. Ila ipo siku atamsamehe baba yake na maisha yataenda. Ni suala la wakati.
kama chanzo mama je.uoni kama domo ana makosa kwanza ata uteswe vipi ni mzazi tu.maana aliweza kukuzaa.ngojeni tu.mtasikia mengi.maana kinachofanyika domo anapata laana
 
Yaani inaumiza mno. Mtu ambae amepata bahati ya kupata mapenzi ya baba hawezi akaelewa ni jinsi gani Diamond anajusikia kuhusu baba yake. Ukikumbuka mama yako alivyoteseka kukutoa katika shida huwezi muelewa baba yako sasa akijirudi. Ila ipo siku atamsamehe baba yake na maisha yataenda. Ni suala la wakati.
Kweli kabisa
 
kama chanzo mama je.uoni kama domo ana makosa kwanza ata uteswe vipi ni mzazi tu.maana aliweza kukuzaa.ngojeni tu.mtasikia mengi.maana kinachofanyika domo anapata laana
bosi wangu najaribu kukuelewa lakini nashindwa!hivi hata kama mama ake diamond ndo alizingua ndo iwe sababu ya kumtelekeza na mtoto mazima?halafu unajileta keshakuwa mbaba na mafanikio yake makubwa,kweli sawa?we huoni huyu mzee atakuwa si timamu,mbona hakwenda kuomba msamaha kipindi dai anakomaa najua kali kwa kunadia mitumba yake?
Kwa kweli acha tu bi sandra aendelee kula neema za kijana wake katika nyakati hizi za uzee
wake maana wametoka mbaaali sana mtu na mwanawe. Hebu mkuu jaribu kujivisha joho la dai thn utahisi fukuto lake hasa la rohoni...halafu usikute mondi kipindi iko majalala alikuwa anajipendrkeza sana kwa mdingi wake but mzee akawa anamkandia au hata kumkana kabisa,can you imagine how painful it is!
 
Diamond mwisho wake mbaya sana atakuja juta amzarauye babaye maisha yake ni kama tone la maji huwezi kujua mapenzi ya baba yako na mama yako yaliingia dosari gani kwa mwanaume mwenye akili hayo mambo usiyaingilie unatakiwa uyakwepe usukubali kujumuishwa humo inahitaji akili sana sababu ni rahisi sana kwa mama kumwaminisha mtoto mabaya ya baba yake kuliko baba kumwaminisha mtoto

Acheni kumtisha kijana wa watu...baba yake ni wa hovyo,hakutimiza wajibu wake alipokua anawazaa na sasa anavuna alichopanda,hii kuzunguka kwenye mastesheni kuelezea upumbavu wake ni aibu kubwa sana

Mwanaume mwenye pumbu mbili zinaning'inia umezalisha watoto ukatelekeza kwa upumbavu wako leo unajifanya kuibuka?Mpuuzi kabisa,heri angenyamaza aendeshe maisha yake binafsi awasalimie tu kama wanae na sio drama za kipuuzi namna hii,aibu sana
 
kama chanzo mama je.uoni kama domo ana makosa kwanza ata uteswe vipi ni mzazi tu.maana aliweza kukuzaa.ngojeni tu.mtasikia mengi.maana kinachofanyika domo anapata laana

Wee Kagombe hufikirii sawasawa...halafu unaona mzazi ni mtu mwenye special prevelege katika dunia na maisha kwa ujumla.

Mzazi timiza wajibu wako then unaweza kudai respect maana ni rightfully yours.

Watoto wako sio mifugo yako unaweza itisha utakavyo.Ni watu binafsi wenye mioyo yao na maisha yao,wanaweza wakupende au wasikupende,huwezi panga haya...kitakachitokea live with it.

Mzazi ni mwanadamu kama walivyo wengine,huna hati miliki ya kumiliki mwanadamu mwingine,muheshimu mwanao kama mtu kamili,usilete upumbavu kusema unamiliki mwanao kwasababu umemzaa.

Kwanza ni wajibu wako kumzaa sio ombi.Ni wajibu wako kumtunza na sio ombi,shenzi type umekuja duniani ukalelewa na wewe lelea wanao,hakuna prevelege umetoa kuzaa wanao na kuwalea,ni wajibu,ba usipotimiza ndio utaishia kua baba diamond,shenzi type anajua kuzaa na kuacha,anatakiwa ashitakiwe kabisa huyo mzee.

Na wapuuzi kama wewe ndio mtakuja kufa kwa pressure pale watoto wenu wanakapoenda na maisha yao,kumbe wewe unawategemea eti kisa umewazaa,hujaja duniani kumtegemea mtu,kama umekuja duniani kuzaa watoto ili uwafanye mifugo yako wewe ni wa kuchinja hadharani kabisa
 
Inaumizaga sana msisimuliwe....huwezi jua Nasibu na mamaake wamepitia wapi.....na Kwa nn amuombe msamaa Leo baada ya nyota yake kungaa.
 
Hata mm ilinichukua muda sana kumsamehe baba yangu ingawa bado mpaka leo anaishi na mama. Baba ambae hafanyi majukumu yake kwa mtoto wanaumiza sana watoto kisaikolojia. Naelewa jinsi diamond anavyojisikia kuhusu baba yake. Inahitaji neema kumsamehe irresponsible father.

Same here.
 
Back
Top Bottom