Diamond platnumz, baba ni baba tu, rudi kwa baba yako

Diamond platnumz, baba ni baba tu, rudi kwa baba yako

tatizo mizee ya hivi inakeraga sana,hasa wanapojitokeza baada ya kuona mtoto aliyemtelekeza kipindi ambacho mtoto anauhitaji hasa wa mapenzi ya baba(akiwa kinda),amekuwa na mafanikio!hii inanipa picha kwamba laiti huyu mtoto asingefanikiwa na kuendelea kuwa majalala kama enzi hizo maana yake ni kwamba utelekezaji ungeendelea tu,toka utoto mpk ukubwani.

hili ni somo zuri sana kwa wanaume/wanawake wanaotelekeza watoto pasi na kuanticipate potentiality ya iko kiumbe huko mbeleni...uzuri fundisho limekuja kupitia superstar ili hadhira kubwa ijifunze kupitia kinachoendelea kati ya chibu na mdingi wake. Yaani mtu wa hivi kumsamehe kiroho safi(kumsafia nia) ni ngumu sana maana utakuwa unafikiria kuwa hili limdingi limejirudi baada ya kuona now I am somebody in this world,vyenginevo asingejirudi huyu,so unahisi kabisa huyu hajaja kwa sababu eti amekuwa na mapenzi ya dhati kwa mwanawe kwa sasa la hasha,bali mafanikio ndo yametengeneza mahaba kwa mwanawe!hatari sana hii.
Mkuu umenena vyema sana hii ni HATARI KUBWA na laana kwa hiki kizee
 
KWELI Ww Mgonjwa!! KITABU Gani, Cha DINI Ipi Na MUNGU Yupi Huyo!!! AMBAYE Anatoa Au Anabariki LAANA Kwa Mtt Amekataliwa Na Kutekelezwa Mzazi Ambaye AMEKIMBIA Majukumu Yake!! MUNGU Anayemuabudu Mi, Najua Malezi, Matunzo Na Mahitaji Mengine Ni JUKUMU Na WAJIBU Wa Mzazi, Wala Si Hisani!! SIO Kuweka Mbegu Tu Na Kukimbia!!! HATA Shamba Ukilima Na Kupanda Mbegu, Lazima Upalilie, Uweke Viuatilifu, Umwagilie Maji N.k .Ndipo Uje Kuvuna MAZAO Yako!! KAMA Utashindwa Kufanya Hivyo, Umeishia Kupanda Tu, Ukalitelekeza Shamba. MATOKEO Yake Mazao Yamekuwa Kwa SHIDA!! MATOKEO Uje Kudai MUNGU Akulipe Fidia Ya Mbegu Ulizopanda!!! HAKUNA MUNGU Wa Aina Hiyo!! NA UPAMBAVUU MKUBWA KUDHANI, MUNGU ANABARIKI LAANA ZA KIJINGA HIVYO!!!! KAMA Haujui Hilo, Jaribu Kuwauliza WATU Wakubwa Zaidi, JE, LAANA Ya Mzazi Wa Aina Hiyo MUNGU Anaibariki!?
Huyo jamaa na dini yake hajui kwamba Mungu ni wa HAKI.
 
Kweli kabisa..kwanza ugomvi wa mama na baba yeye haumhusu..anaamini vp kama mama yake hakuwa na makosa??labda huyo mama yake ndo alikuwa chanzo..hata maandiko yanasema tusameheane.
Acha kujibu ku coment kitu usichokijua! Ni hivi diamond kwa kinywa chake mwenyewe amesema aliwahi kumfuata baba yake ampe Ada ya shule.

Baba yake akamtimua!
Tofautisha mtoto na mama +baba.
Kwa hiyo wewe ukigombana na mke wako ndio mwisho pia wa kumpa pia mtoto wako matunzo kwa sababu umegombana na mke wako.
Hivi wewe una akili kweli!?
 
Diamond, rudisha moyo wako nyuma. Samehe sabini mara sabini. Katika imani ya dini yako kuna hadithi ya Mtume Muhammad inayosema kuwa pepo ipo chini ya miguu ya wazazi wawili.

Kama kweli unamwamini Mungu na Mtume ni kiigizo chako chema, basi wewe unakosea sana. Msamehe mzazi wako, kutokana na maandiko huwezi kuwa na hiari katika hilo.

Mimi ni shabiki wako mkubwa, lakini kwa hili tutatofautiana milele.
Dini ya kiislam inasema wazi Mwenyenzi Mungu ni wa HAKI!
Manake ni kwamba kama baba diamond amefanya makosa ilihali alikuwa timamu na sasahivi amerudi baada diamond kuwa somebody.
 
mimi navyojua mtoto wakiume hata sikumoja usije kumzira baba yako hata kama alikutenda vipi zaidi nikushuka chini na kumsdamehe,kama kauli ya waswahili isemayo mkubwa au mzazi hakosei!!Hata huyu baba zari ajue naye ni baba kesho nakesho kutwa huyo mama wanaweza kuhitirafiana akaondoka,nakama tunavyojua wamama wanavyojua kujaza sumu watoto wao nayeye kesho tiffa mwana wa aliko dangote naye akamuona mondy sio kitu...!!mpaka sasa kuna mibaraka anaifukuza
 
sijaelewa amsamehe apate baraka za mungu au ampe hela maana naona uzi wakumtaka dai atoe hela. huyo mzee aendelee na maisha yake hivi kutelekezwa na mzazi mjue ule upendo kwake unakufa hata ujilazimishe haujiii, amkaushie hivyohivyo awe fundisho kwa wengine
Member wengi humu hawajui upendo inakuja automatically
 
mimi navyojua mtoto wakiume hata sikumoja usije kumzira baba yako hata kama alikutenda vipi zaidi nikushuka chini na kumsdamehe,kama kauli ya waswahili isemayo mkubwa au mzazi hakosei!!Hata huyu baba zari ajue naye ni baba kesho nakesho kutwa huyo mama wanaweza kuhitirafiana akaondoka,nakama tunavyojua wamama wanavyojua kujaza sumu watoto wao nayeye kesho tiffa mwana wa aliko dangote naye akamuona mondy sio kitu...!!mpaka sasa kuna mibaraka anaifukuza
ila baba yake aliweza kumzira mtoto wakwe wa kiume sio khaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Wakati mwingine MTU unaangalia sababu ya nafanikio yako ni nini, kama shida ndio zimekupelekea kufanikiwa basi aliyekusababishia shida hizo ni wa kumpongeza
 
Wakati mwingine MTU unaangalia sababu ya nafanikio yako ni nini, kama shida ndio zimekupelekea kufanikiwa basi aliyekusababishia shida hizo ni wa kumpongeza
hhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhheeeeeeeeeee hapana asee
 
ila baba yake aliweza kumzira mtoto wakwe wa kiume sio khaaaaaaaaaaaaaaaa

ushahidi unao kama alimzira,ukienda kuongea na babake nasib abdul kwanini aligombana na mamake nasib unaweza ukamshauri mondy askize babake,vivyo hivyo ukienda kumuuliza mamake mondy kinagaubaga kuhusu kutalikiana kwao utapewa story ambayo utamuona babake mondy hakustahili kuwa mwanaume so achana kamiza na maswala yawawili walio share shuka moja na wakaamua kutengana..!!

Naomba nikufundishe ukija kuwa mzazi uyajue haya
 
maneno machafu ya mama ndo umtelekeze mtoto? mfano anasoma hata ukipeleka ada huko shuleni waalimu nao watakutukana amkaushie tu daimond fanya yako akitaka aje na DNA kudhibitisha wewe nibaba yake na maelezo kuwa ugomvi na mama yako.ilikuwaje akaacha kutumza mtoto
Yaani hapa inahitajika mahakama ya haki za watoto.
 
ushahidi unao kama alimzira,ukienda kuongea na babake nasib abdul kwanini aligombana na mamake nasib unaweza ukamshauri mondy askize babake,vivyo hivyo ukienda kumuuliza mamake mondy kinagaubaga kuhusu kutalikiana kwao utapewa story ambayo utamuona babake mondy hakustahili kuwa mwanaume so achana kamiza na maswala yawawili walio share shuka moja na wakaamua kutengana..!!

Naomba nikufundishe ukija kuwa mzazi uyajue haya
hahahahahahah kwani wewe ni baba nasiibu ama vipi? mimi ni mwanamke naelewa yanayotokea sasa tuliza kipago halafu aundike kiswahili upo kijiwe gani sa hii au ni konda unaropoka huku unakusanya nauli ??
 
hhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhheeeeeeeeeee hapana asee
Usicheke mkuu,pengine angetunzwa vizuri asingekuwa amejisomea kiwango cha kawaida na kuishia kuwa karani. Lakini msoto ulimpeleka kwenye sanaa na kila akikunbuka shida zake anaongeza juhudi npaka kafika hapo.
Kwa hiyo hongera kwa aliye msababishia kuujua ugumu wa dunia na kujituma sana
 
hahahahahahah kwani wewe ni baba nasiibu ama vipi? mimi ni mwanamke naelewa yanayotokea sasa tuliza kipago halafu aundike kiswahili upo kijiwe gani sa hii au ni konda unaropoka huku unakusanya nauli ??
utoto na umalaya unakusumbua,ukijua kufua kyupi uje hapa bado unanuka kojo
 
utoto na umalaya unakusumbua,ukijua kufua kyupi uje hapa bado unanuka kojo
hahahaha amka kijana wacha upuuzi wewe utoto unao wewe mi wala si mtoto


mnasikitisha sana nyie vinuka mikojo wa shule yaani jitu linaandika mauchafu huku jf unajiona mjaaanja hapo ulipo hata adika yako tu unaonekana humjui huyo baba au unaye wa kupakaziwa hahahahahahahahahahaha pole sana
 
We kaka wewe mwisho wake utakua mbaya we wa kwako ushauona utakuaje? Kisa cha kumuombea mwenzio mabaya ni nini?? Fact kwamba ni msanii anaejulikana doesn mean he is not human. Ana feelings tu kama binadamu wengine and bound to make mistake mwisho wa siku we all pray we get the chance to regret before it's too late. Wewe, mimi na kila mtu. Sasa kujitia Sheikh Yahaya na kuuona mwisho wa mwenzio UKOME. Im sure ungekua ushauona mwisho wako usingekaa uandike utumbo wako hapa. He helps his dad, the dad himself confessed. The rest vitakuja polepole dont force him into things you dont understand exactly why they are happening yourself. Mwisho kabisa baba yake vividly anamuombea mwanae mwisho mwema wewe kama nani ujitie kumtia nuksi..Otherwise ni mambo yao ya kifamilia vingine waachie wenyewe..
Na maumivu ya kizidi nenda kamuoe esma basi ili muwe ndugu uweze changia vizur wakakuskiliza hahahahahahahha
Kasome biblia vizuri wewe nyumbu usiwe unakurupuka tu mimi nimwombee mabaya ili iweje? Huyo diamond hanijui wala simjui kama familia yao imeparanganyika ni wao sisi tunashauri tu sasa wewe ni nani mpaka unashoboka hivyo? Au ni hawara yake? mimi nimekua kwenye maadili usinifananishe na hizo familia za mtaani plz
 
Mna mlaumu bure kuna mambo mengine mtu anapenda kusamehe ila inashindikana.kwani huenda kila anapomuona chuki inampanda
Waambie hao. Unajua ni rahisi sana kutoa ushauri kwa ishu ambayo haikuhusu, lakin hawa wangevaa viatu vya Diamond wangejua vinambanaje. Huwezi jua baba wa Diamond kafanya mambo gani mabaya mpaka akachukiwa. Suala lisiwe kuweka mimba tu akina dada, tukumbuke na kuzilea pia, sio kutaka tu kufaidi matunda ya mimba hizo.
 
Kama huwezi kusamehe inakuaje apo! make unaweza zuga umesamehe kumbe moyoni bado unakereketwa.
Mkuu huwezi kushindwa kusamehe, lakini unaweza kukataa kusamehe! Kushindwa hakupo maana ni jambo unaloamua mwenyewe kutoka ndani ya moyo wako. Ukisikia mtu anasema anashindwa kusamehe, huyo hajaamua, bali amekataa.
Hivyo hivyo huwezi kuzuga umesamehe, ni kujidanganya mwenyewe kwani haitachukua muda na utajikuta unafanya mambo ambayo hayafanani na ulichosema.
 
Back
Top Bottom