KWELI Ww Mgonjwa!! KITABU Gani, Cha DINI Ipi Na MUNGU Yupi Huyo!!! AMBAYE Anatoa Au Anabariki LAANA Kwa Mtt Amekataliwa Na Kutekelezwa Mzazi Ambaye AMEKIMBIA Majukumu Yake!! MUNGU Anayemuabudu Mi, Najua Malezi, Matunzo Na Mahitaji Mengine Ni JUKUMU Na WAJIBU Wa Mzazi, Wala Si Hisani!! SIO Kuweka Mbegu Tu Na Kukimbia!!! HATA Shamba Ukilima Na Kupanda Mbegu, Lazima Upalilie, Uweke Viuatilifu, Umwagilie Maji N.k .Ndipo Uje Kuvuna MAZAO Yako!! KAMA Utashindwa Kufanya Hivyo, Umeishia Kupanda Tu, Ukalitelekeza Shamba. MATOKEO Yake Mazao Yamekuwa Kwa SHIDA!! MATOKEO Uje Kudai MUNGU Akulipe Fidia Ya Mbegu Ulizopanda!!! HAKUNA MUNGU Wa Aina Hiyo!! NA UPAMBAVUU MKUBWA KUDHANI, MUNGU ANABARIKI LAANA ZA KIJINGA HIVYO!!!! KAMA Haujui Hilo, Jaribu Kuwauliza WATU Wakubwa Zaidi, JE, LAANA Ya Mzazi Wa Aina Hiyo MUNGU Anaibariki!?