Diamond Platnumz badili mwenendo before it’s too late!

Huo ni ukweli mchungu, mwamba alianza kwenye upunda na sasa kaamua alambe kabisa, wanavyoanza wanasema wanapandisha energy wakishakua addicted ndio vile tena....
Wasi wasi wangu asije akamuharibu na kale kabinti
Kale kabinti nako mbona kameshaanza kuonyesha dalili kana sneef!!

Haiwezekani washinde,kula,kulala nq kupeanq sangara tope halafu wasibiwie wote!!
 
Muombee azidi kupata hela na kula first grade powder a.k.a nyeupe pee... Hiyo madhara si makubwa sana ila ukianza kutumia vumbi ndio ishu.

We unaamjlini wanaotumia dawa wote ni mateja? Ishu ni grade na grade kali ni gharama..... Nyeupe ni kwa matajiri na hawawi mateja....

Madawa mabaya kwa masikini. Period
 
Sawa ila Yesu ndio namuheshimu pekee freemanson ni basi tu hujui kuwa ni uhuru wa kuwa na shetani atakuja mahali popote saa ydyote kukusalimia nakukumbushia maagano yenu kila daily so ujue hilo. Ujue hilo soma uelewe maana ya walichoenda kufanya
Mnamuita Yesu ila Jina lake Halisi katika Elimu ya Demonolojia Anaitwa Mitele ni Demon Yenye umbo la Ndege Aina ya Tai, Umbo lake limeandikwa had huko kweny Biblia,

Ila kwasabb unasomewag Hicho kitabu na Mchungaji ambaye naye hajui Kilichomo ndani ya hicho Kitabu mnachoita Biblia bas Mnafikir Mnaabudu Mungu wa ukweli,

Ila kiuhalisia mnaabudu Demon iitwayo Mitele, Ni demon yenye Umbo la Ndege Juu na Chini Samaki,

Ndomaan nkakwambia huna ujualo kuhus Elimu ya Giza, kiufupi Mmefichwa sana huko kweny Dini zenu ila Papa wa pale vatican Anajua ukweli wote hat hayo majina niliyokutajia ambayo wew na Mchungaji wako huwez kuyajua ni majina ya nan na ni Lugha gani ?

Ila Pope wa pale Vatican anayajua hayo majina Ni ya kina nani na Hiyo Lugha pia anaijua ni Lugha gani Na hata hilo jina La "Mitele" analijua.

Sina muda wa kkuelezea vingi hapa Nitafute kwa muda wako.
 
1
Dah inabidi tukuombee
 
Ili kuthibitisha hili beyond reasonable dought, Diamond ajitokeze hadharani akapimwe uteja na mkemia mkuu wa serikali na majibu yake yaanikwe hadharani
 
Adili na mume wake au watoto ausio mengine kufuatilia watu hai make sense
 
Whitney Houston Hadi anakufa alikuwa na utajiri wa Dola milion 20 Hela ninayoamini hata diamond Hana. Ila alikuwa Teja na unga ukamuondoa.


Unadhani Whitney Houston alikuwa anakosa unga mweupe?

Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
 
Whitney Houston Hadi anakufa alikuwa na utajiri wa Dola milion 20 Hela ninayoamini hata diamond Hana. Ila alikuwa Teja na unga ukamuondoa.


Unadhani Whitney Houston alikuwa anakosa unga mweupe?

Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
Nilitaka kumjibu nikashindwa na kwa heshima ya jamaa hapa jamvini nimekaa kimya.
Asante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…