Diamond Platnumz badili mwenendo before it’s too late!

Diamond Platnumz badili mwenendo before it’s too late!

Huo ni ukweli mchungu, mwamba alianza kwenye upunda na sasa kaamua alambe kabisa, wanavyoanza wanasema wanapandisha energy wakishakua addicted ndio vile tena....
Wasi wasi wangu asije akamuharibu na kale kabinti
Kale kabinti nako mbona kameshaanza kuonyesha dalili kana sneef!!

Haiwezekani washinde,kula,kulala nq kupeanq sangara tope halafu wasibiwie wote!!
 
Muombee azidi kupata hela na kula first grade powder a.k.a nyeupe pee... Hiyo madhara si makubwa sana ila ukianza kutumia vumbi ndio ishu.

We unaamjlini wanaotumia dawa wote ni mateja? Ishu ni grade na grade kali ni gharama..... Nyeupe ni kwa matajiri na hawawi mateja....

Madawa mabaya kwa masikini. Period
 
Sawa ila Yesu ndio namuheshimu pekee freemanson ni basi tu hujui kuwa ni uhuru wa kuwa na shetani atakuja mahali popote saa ydyote kukusalimia nakukumbushia maagano yenu kila daily so ujue hilo. Ujue hilo soma uelewe maana ya walichoenda kufanya
Mnamuita Yesu ila Jina lake Halisi katika Elimu ya Demonolojia Anaitwa Mitele ni Demon Yenye umbo la Ndege Aina ya Tai, Umbo lake limeandikwa had huko kweny Biblia,

Ila kwasabb unasomewag Hicho kitabu na Mchungaji ambaye naye hajui Kilichomo ndani ya hicho Kitabu mnachoita Biblia bas Mnafikir Mnaabudu Mungu wa ukweli,

Ila kiuhalisia mnaabudu Demon iitwayo Mitele, Ni demon yenye Umbo la Ndege Juu na Chini Samaki,

Ndomaan nkakwambia huna ujualo kuhus Elimu ya Giza, kiufupi Mmefichwa sana huko kweny Dini zenu ila Papa wa pale vatican Anajua ukweli wote hat hayo majina niliyokutajia ambayo wew na Mchungaji wako huwez kuyajua ni majina ya nan na ni Lugha gani ?

Ila Pope wa pale Vatican anayajua hayo majina Ni ya kina nani na Hiyo Lugha pia anaijua ni Lugha gani Na hata hilo jina La "Mitele" analijua.

Sina muda wa kkuelezea vingi hapa Nitafute kwa muda wako.
 
Mnamuita Yesu ila Jina lake Halisi katika Elimu ya Demonolojia Anaitwa Mitele ni Demon Yenye umbo la Ndege Aina ya Tai, Umbo lake limeandikwa had huko kweny Biblia,

Ila kwasabb unasomewag Hicho kitabu na Mchungaji ambaye naye hajui Kilichomo ndani ya hicho Kitabu mnachoita Biblia bas Mnafikir Mnaabudu Mungu wa ukweli,

Ila kiuhalisia mnaabudu Demon iitwayo Mitele, Ni demon yenye Umbo la Ndege Juu na Chini Samaki,

Ndomaan nkakwambia huna ujualo kuhus Elimu ya Giza, kiufupi Mmefichwa sana huko kweny Dini zenu ila Papa wa pale vatican Anajua ukweli wote hat hayo majina niliyokutajia ambayo wew na Mchungaji wako huwez kuyajua ni majina ya nan na ni Lugha gani ?

Ila Pope wa pale Vatican anayajua hayo majina Ni ya kina nani na Hiyo Lugha pia anaijua ni Lugha gani Na hata hilo jina La "Mitele" analijua.

Sina muda wa kkuelezea vingi hapa Nitafute kwa muda wako.
1
Dah inabidi tukuombee
 
Naandika hii thread kwa machungu sana, hili limeniwia vigumu sana kulisema hapa, lakini imenibidi!

Siandiki nionekane nilisema, wala sipendi siku thread hii ije kufukuliwa kwamba yametimia, wala siandiki kama umbea. Hili ni suala serious juu ya kijana mwenzetu huyu maarufu pengine kuliko kijana yeyote kutokea katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya.

Ni nini kimekusibu Naseeb? Kwanini ulifikia uamuzi huo wa kutumbukia huko ulikotumbukia? Imeniumiza sana, kweli!
Mimi sio shabiki wako, ila siwezi kupinga wewe ni Icon, watu wanakutazama kama nembo ya upambanaji!
Na sidhani kama unajua wewe ni mtu mkubwa kiasi gani! Mambo mengi ambayo huwa unafanya yanathibitisha hilo, hili pia likiwemo.

Ndugu unayesoma haya, kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa masuala ya wasanii na maisha yao hasa hapa kwetu Bongo lazima utakuwa umewahi kusikia tetesi za Diamond kutumia madawa ya kulevya, mengi yamesemwa… wengi wamesema.

Alianza Harmonize kipindi wapo kwenye ‘bifu’ kali baada ya kuachana na iliyokuwa label iliyomsimamia katika safari yake ya muziki ambayo mmiliki ni Diamond, kila mtu anajua jinsi mtifuano ulivyokuwa mkali baada ya Harmonize kuondoka.
Na katika mtifuano huo ndipo Harmonize alituhabarisha kuwa Diamond ni mteja wa madawa ya kulevya, binafsi sikuamini na niliomba isiwe kweli.
Sikuamini kwakuwa katika ugomvi kila mmoja atasema lolote la kumuumiza mgomvi wake, haikuwa na mashiko sana.

‘Dada wa Taifa’ Mange nae mwaka huu amehakikisha kwa kujiamini kabisa kuwa Diamond anatumia madawa ya kulevya, amesema hivyo mara nyingi… pia sikuamini.

Sasa baada ya maneno na tuhuma hizo juu yake mimi binafsi nikaingia ‘chimbo’
Kila mmoja ana chanzo chake kikuu cha habari, hasa kwa sisi wadau wa habari zote ngumu na nyepesi…
Nikauliza ili nijihakikishie je ni kweli yanayosemwa!
Nilichoambiwa ndicho kimenifanya niandike hii thread, nilijibiwa kiufupi kabisa, “NI KWELI ANATUMIA”

Siko hapa kubishana wala kumshawishi yeyote akubaliane na chanzo changu, mimi mwenyewe ndio naujua uzito wa chanzo changu hicho nyeti. Kiufupi ni kwamba chanzo changu hiki kikiniambia kesho nitafariki naanza kabisa kutubu!

Lengo kuu ni kuongea na muhusika mkuu, Jamii Forums ni platform kubwa pengine atafikishiwa haya.

Tafadhali Naseeb, badili mwenendo. Bado hujafikia hatua mbaya, unaweza kuacha kuanzia sasa ukarudi ktk hali yako ya kawaida.
Hukuona yaliyomkuta Whitney Houston? Wewe una ukubwa gani kumzidi malkia yule wa muziki wa muda wote?

Mifano ni mingi, kwa maslahi ya Taifa tusingependa siku ifike na wewe tukutolee mfano.
Wewe ndiye unayeujua ukweli zaidi kwanini umefikia hatua hiyo, ila tafakari nafasi yako ulipo na ubadilike.

Nifah
Ili kuthibitisha hili beyond reasonable dought, Diamond ajitokeze hadharani akapimwe uteja na mkemia mkuu wa serikali na majibu yake yaanikwe hadharani
 
Mtu anapata wapi ujasiri wa kumfuatilia na kumpangia mtu maisha ya kuishi ?
Ikizingatiwa wewe sio Baba ake wala sio mama ake.?

Jiulize swali mmoja tu Kutumia kwake madawa kunaathir nin ktk maisha yako?

Ama akiwa sio mtumiaji wa madawa kunakunufaisha nin ktk maisha yako.?

Yaani mtu unaamka asubuh asubuh na kushusha kitabu kizima cha maneno kwa kumpangia mtu maisha ya kuishi.

Itoshe kusema kama hakuna lolote unalofaidika nalo ungeacha kufatilia maisha ya watu.
Adili na mume wake au watoto ausio mengine kufuatilia watu hai make sense
 
Muombee azidi kupata hela na kula first grade powder a.k.a nyeupe pee... Hiyo madhara si makubwa sana ila ukianza kutumia vumbi ndio ishu.

We unaamjlini wanaotumia dawa wote ni mateja? Ishu ni grade na grade kali ni gharama..... Nyeupe ni kwa matajiri na hawawi mateja....

Madawa mabaya kwa masikini. Period
Whitney Houston Hadi anakufa alikuwa na utajiri wa Dola milion 20 Hela ninayoamini hata diamond Hana. Ila alikuwa Teja na unga ukamuondoa.


Unadhani Whitney Houston alikuwa anakosa unga mweupe?

Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
 
Whitney Houston Hadi anakufa alikuwa na utajiri wa Dola milion 20 Hela ninayoamini hata diamond Hana. Ila alikuwa Teja na unga ukamuondoa.


Unadhani Whitney Houston alikuwa anakosa unga mweupe?

Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
Nilitaka kumjibu nikashindwa na kwa heshima ya jamaa hapa jamvini nimekaa kimya.
Asante
 
Back
Top Bottom