Diamond Platnumz badili mwenendo before it’s too late!


"machungu sana"

Diamond is doing very well, he is way better financial, humzidi hata ukijumlisha ukoo wako wote na ukoo kwa mkweo humzidi.

Kama hiyo ndo akili ya drugs, acha avute, maana yako timamu haijakufikisha popote zaidi ya kukusaidia kupata uchungu

Diamond was asked once kama anatumia madawa, alikataa, akasema hatumii, in that case nachagua kuamini maneno yake kwamba hatumii.
 
Tatizo unaongea theory. Watu wapo wanaishi kwa madawa kwa zaidi ya 30years ww unakuja kunipa jibu la chatgpt? Unacomment kuhusu kitu usichokijua ndo maana umeenda chatGPT
Unadhani waliokaa chini wakatengeneza algorithms za chatgpt unaweza ukawa nao sawa kiakili kama unawaza madawa ya kulevya yapo ambayo ni "classic" yasiyo na madhara.
Hiyo ni program imekupa jibu jepesi ambalo akili yako imeshindwa kutafakari.
 
Wanasrma huwapa nguvu kwenye kazi zao yaani hawachoki.

Lakini hudhohofisha mwili zaidi pale yanapo mzidi.

Na asilimia kubwa ya wasanii hutumia hayo mambo.
 
Ni ujinga mtu kufuatilia jambo ambalo halitamnufaisha kwa namna yoyote ile.

Sikusema kama ni ushaur mbaya ila kinachonishangaza mim mtu anatoa wapi mda wa kufuatilia mambo ya watu?

Mda ni mali unapoona mtu asubuh asubuh badala kufanya mambo yake ya maana ila yeye anaamka nakuanza kufuatilia mambo yatu ujue kuna tatizo mahal.

Me sio mgeni apa jukwaani nipo kitambo sana na hii sio ID ya kwanza kutumia mara nyingi hupenda kusoma tu labda mara moja moja weekend nikiwa home siendi kazin ndo kama ivi napananikisha watu apa jukwaani
 
Mama yake anachojali ni kijana wake awe single ili awe na uhakika wa kuzitumbua mali za mwanae. Akioa au kuwa kwenye mahusiano hatakua na nguvu kwenye mali za mwanae. Hivyo nguvu nyingi anawekeza kuvunja mahusiano yoyote serious ya jaba
 
Unadhani waliokaa chini wakatengeneza algorithms za chatgpt unaweza ukawa nao sawa kiakili kama unawaza madawa ya kulevya yapo ambayo ni "classic" yasiyo na madhara.
Hiyo ni program imekupa jibu jepesi ambalo akili yako imeshindwa kutafakari.
ChatGpt 3.5 haina Nguvu sana ki algorism kama chatGPT4 ...
Na Bard ni bora zaidi ki Algorism kuliko ChatGpt kwa sababu ya RNN
 
Pathetic thinking
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…