Diamond Platnumz badili mwenendo before it’s too late!

Diamond Platnumz badili mwenendo before it’s too late!

Naomba nikujibu kistaarabu maana unaonekana una upeo wa akili.

Hayo majukumu ndiyo yamemfanya adondokee kwenye unga, kazi na uwekezaji katika hizo biashara zake vimemzidia na suluhisho alilolichagua ndio hilo.

Sikutaka kusema mengi sababu hii haikuwa sehemu ya lawama bali a wake up call.

Kama kweli unamkubali sana jamaa tafuta namna za kumnusuru, mimi ambaye wala sio shabiki yake nimekuja hapa kumpa onyo na ombi la kubadilika, wewe tafuta njia yako.

Kila kitu kina matokeo, mazuri au mabaya yote ni matokeo. Lakini, tunaweza kuamua aina ya matokeo ya kuyapokea.

Hii thread ni serious, sio cheap stunt na sina ninachonufaika na hilo hadi nifanye hivyo.
Usingemjibu huyo mpuuzi ukute Yuko shamba mkoani diamond amamuona kwenye tv.

Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
 
Naandika hii thread kwa machungu sana, hili limeniwia vigumu sana kulisema hapa, lakini imenibidi!

Siandiki nionekane nilisema, wala sipendi siku thread hii ije kufukuliwa kwamba yametimia, wala siandiki kama umbea. Hili ni suala serious juu ya kijana mwenzetu huyu maarufu pengine kuliko kijana yeyote kutokea katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya.

Ni nini kimekusibu Naseeb? Kwanini ulifikia uamuzi huo wa kutumbukia huko ulikotumbukia? Imeniumiza sana, kweli!
Mimi sio shabiki wako, ila siwezi kupinga wewe ni Icon, watu wanakutazama kama nembo ya upambanaji!
Na sidhani kama unajua wewe ni mtu mkubwa kiasi gani! Mambo mengi ambayo huwa unafanya yanathibitisha hilo, hili pia likiwemo.

Ndugu unayesoma haya, kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa masuala ya wasanii na maisha yao hasa hapa kwetu Bongo lazima utakuwa umewahi kusikia tetesi za Diamond kutumia madawa ya kulevya, mengi yamesemwa… wengi wamesema.

Alianza Harmonize kipindi wapo kwenye ‘bifu’ kali baada ya kuachana na iliyokuwa label iliyomsimamia katika safari yake ya muziki ambayo mmiliki ni Diamond, kila mtu anajua jinsi mtifuano ulivyokuwa mkali baada ya Harmonize kuondoka.
Na katika mtifuano huo ndipo Harmonize alituhabarisha kuwa Diamond ni mteja wa madawa ya kulevya, binafsi sikuamini na niliomba isiwe kweli.
Sikuamini kwakuwa katika ugomvi kila mmoja atasema lolote la kumuumiza mgomvi wake, haikuwa na mashiko sana.

‘Dada wa Taifa’ Mange nae mwaka huu amehakikisha kwa kujiamini kabisa kuwa Diamond anatumia madawa ya kulevya, amesema hivyo mara nyingi… pia sikuamini.

Sasa baada ya maneno na tuhuma hizo juu yake mimi binafsi nikaingia ‘chimbo’
Kila mmoja ana chanzo chake kikuu cha habari, hasa kwa sisi wadau wa habari zote ngumu na nyepesi…
Nikauliza ili nijihakikishie je ni kweli yanayosemwa!
Nilichoambiwa ndicho kimenifanya niandike hii thread, nilijibiwa kiufupi kabisa, “NI KWELI ANATUMIA”

Siko hapa kubishana wala kumshawishi yeyote akubaliane na chanzo changu, mimi mwenyewe ndio naujua uzito wa chanzo changu hicho nyeti. Kiufupi ni kwamba chanzo changu hiki kikiniambia kesho nitafariki naanza kabisa kutubu!

Lengo kuu ni kuongea na muhusika mkuu, Jamii Forums ni platform kubwa pengine atafikishiwa haya.

Tafadhali Naseeb, badili mwenendo. Bado hujafikia hatua mbaya, unaweza kuacha kuanzia sasa ukarudi ktk hali yako ya kawaida.
Hukuona yaliyomkuta Whitney Houston? Wewe una ukubwa gani kumzidi malkia yule wa muziki wa muda wote?

Mifano ni mingi, kwa maslahi ya Taifa tusingependa siku ifike na wewe tukutolee mfano.
Wewe ndiye unayeujua ukweli zaidi kwanini umefikia hatua hiyo, ila tafakari nafasi yako ulipo na ubadilike.

Nifah
Hawa ni wafanyabiashara ya madawa ya kulevya halafu unamwita ''icon''? Karma is bitch, acha na yeye yamkute. Unadhani fedha yake ni matokeo ya muziki tu?
 
Kuna watu wengi wataona ni vigumu sana kufanya kitu sahihi hapa, ambacho ni kumhurumia Diamond kama mgonjwa/victim.

Kwa sababu jamii yetu inaangalia pesa kama kila kitu. Yani ukiweza kupata pesa tu, unaonekana mjanja.

Sasa watu wanamshangaa Diamond, imekuwaje amepata ujanja wa kupanda ngazi kwenye usanii wenye competition sana, halafu ashindwe kuji control kwenye madawa ya kulevya?

Ukiangalia hili jambo ni tatizo dunia nzima. Ni kama vile wasanii wanapata pressure sana kuwa creative na kubaki on top, wanapata pressure kuandikwa sana, tunawaingilia maisha yao binafsi sana kama tunawajua personally wakati hatuwajui kihivyo, mwishowe wanaji boost kwa madawa kama coping mechanism.

It is very hard to argue for sympathy for Diamond, kama mtu, kama mgonjwa, kwa sababu jamii yetu inaangalia umasikini wa fedha kama ndiyo tatizo kubwa, haiangalii umasikini wa akili na mambo yanayohusu afya ya akili kama tatizo.

Mimi nilikuwapo katika watu walioanzisha Bongoflava siku hizo, ila niliamua kutoendelea huko, kwa sababu niliona gharama ya u star kwenye kutokuwa na privacy.

Hili ni jambo kubwa sana ambalo watu wanalichukulia poa tu.
 
Kama daima hukuwahi kuwa mhanga wa tatizo la dawa za kulevya unaweza usione uzito ama umuhimu wa thread hii ya kuonya.

Kwa nilivyoguswa na thread hii, leo naeleza familia yangu imetikiswa na tatizo hili baada ya dada yangu kujiingiza humo.

Dada yangu, nisimtaje, naye alikuwa maarufu. Aliingiza pesa nyingi ila baada kukosana na management yake tukashtukia akitumia.

Tulifanya kosa, tulichagua iwe siri kama alivyokuwa akitaka yeye. Kumbe Ilikuwa siri ya kujimaliza, tatizo lilikua badala ya kumalizika.

Hali ikawa mbaya, ofisi yangu ikajaribu kusaidia, lakini akaacha kwa muda na akarudia tena kwa ubaya zaidi hadi akawa kama kawehuka.

Kiukweli, hakuamua kuacha kwa dhati hadi tulipoamua suala lake kuliweka wazi, kila anayemfahamu akajua hali yake.

Hiyo ikasaidia akarudi nyumbani na akatuomba mwenyewe apelekwe sober. Tunashukuru kwa sasa ameondoka katika tatizo hilo.

Ila, hasara aliyopata ni kubwa. Alikua na maduka mawili ya nguo, yalifilisika. Alikuwa na gari mbili aliuza zote na alikuwa na nyumba aliuza.

Isitoshe, aliuza vitu vyake vya ndani vyote. Akawa sifuri. Alituomba aende nje akasomee uigizaji, tumefanya hivyo na sasa yuko nje.

Kwanini thread hii ni muhimu?

Ni kwa sababu, njia ya kumsema hadharani mtu anayetumia dawa za kulevya humfanya aone uzito wa kosa lake na kuchukua hatua.

Kwa uzoefu wa dada yetu, baada ya kutoroka nyumbani, tulipoamua kumsema hadharani alirudi nyumbani na kuomba apelekwe sober.

Aliona aibu kwani ile siri aliyoomba tumfichie ilifichuka. Na ilikuwa dawa kuu iliyomsaidia kubadilika, lakini tayari dawa zilishamfilisi.

Kumfichia siri hii Nassib hakuwezi kumsaidia kuondokana na tatizo hilo hadi azomewe kama hivi hadharani, ndivyo kumsaidia.

Kama hatutamuunga mkono Nifah na tukaona kama ana chuki na Nassib, muda utaongea na tutarudi na majuto kama sisi kwa dada yetu.

Ieleweke kuwa, hakuna mtumiaji wa dawa za kulevya anayefurahia utumiaji wa dawa hizo baada ya kuathirika, ila hulazimika.

Hili janga ni kubwa zaidi ya tunavyofikiri, ila huwezi kuuona ukubwa wake hadi liingie kwenye sebule ya familia yako.

Ova
Kiuno bila mfumo



Huyu ni Ray sii

Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
 
Kunae ndg yangu kwa upande wa baba mkubwa, ni muhanga wa hii kitu, uso kwa uso nimekutana nae mwaka huu mwanzoni, mazee nililia kwa uchungu kwao kuna kila kitu ila ndo hivyo akienda mama yake mzazi na deko zote anamtimua akalale nje anamuhofia asimuibie vitu vyake, na ndie firstborn, ilibidi niwapigie simu usiku huo kuwashukuru walionilea hata km ilikuwa kwa mateso na masimango ila kwa dhati niliwashukuru sana
 
Kama daima hukuwahi kuwa mhanga wa tatizo la dawa za kulevya unaweza usione uzito ama umuhimu wa thread hii ya kuonya.

Kwa nilivyoguswa na thread hii, leo naeleza familia yangu imetikiswa na tatizo hili baada ya dada yangu kujiingiza humo.

Dada yangu, nisimtaje, naye alikuwa maarufu. Aliingiza pesa nyingi ila baada kukosana na management yake tukashtukia akitumia.

Tulifanya kosa, tulichagua iwe siri kama alivyokuwa akitaka yeye. Kumbe Ilikuwa siri ya kujimaliza, tatizo lilikua badala ya kumalizika.

Hali ikawa mbaya, ofisi yangu ikajaribu kusaidia, lakini akaacha kwa muda na akarudia tena kwa ubaya zaidi hadi akawa kama kawehuka.

Kiukweli, hakuamua kuacha kwa dhati hadi tulipoamua suala lake kuliweka wazi, kila anayemfahamu akajua hali yake.

Hiyo ikasaidia akarudi nyumbani na akatuomba mwenyewe apelekwe sober. Tunashukuru kwa sasa ameondoka katika tatizo hilo.

Ila, hasara aliyopata ni kubwa. Alikua na maduka mawili ya nguo, yalifilisika. Alikuwa na gari mbili aliuza zote na alikuwa na nyumba aliuza.

Isitoshe, aliuza vitu vyake vya ndani vyote. Akawa sifuri. Alituomba aende nje akasomee uigizaji, tumefanya hivyo na sasa yuko nje.

Kwanini thread hii ni muhimu?

Ni kwa sababu, njia ya kumsema hadharani mtu anayetumia dawa za kulevya humfanya aone uzito wa kosa lake na kuchukua hatua.

Kwa uzoefu wa dada yetu, baada ya kutoroka nyumbani, tulipoamua kumsema hadharani alirudi nyumbani na kuomba apelekwe sober.

Aliona aibu kwani ile siri aliyoomba tumfichie ilifichuka. Na ilikuwa dawa kuu iliyomsaidia kubadilika, lakini tayari dawa zilishamfilisi.

Kumfichia siri hii Nassib hakuwezi kumsaidia kuondokana na tatizo hilo hadi azomewe kama hivi hadharani, ndivyo kumsaidia.

Kama hatutamuunga mkono Nifah na tukaona kama ana chuki na Nassib, muda utaongea na tutarudi na majuto kama sisi kwa dada yetu.

Ieleweke kuwa, hakuna mtumiaji wa dawa za kulevya anayefurahia utumiaji wa dawa hizo baada ya kuathirika, ila hulazimika.

Hili janga ni kubwa zaidi ya tunavyofikiri, ila huwezi kuuona ukubwa wake hadi liingie kwenye sebule ya familia yako.

Ova
Pole sana mkuu.

Natumaini hata nje mnamfuatilia na kumpa support dada yenu.

Mimi kwa kawaida ni mtu wa "live and let live". Basically "kila mtu mzima aubebe msalaba wake mwenyewe".

Na nilipoanza kusoma huu uzi nilipata hisia hizo, nikaona hii ni kama obsession na celebrities.

Ila, nilivyozidi kufikiri zaidi, nikapata picha ya tatizo kubwa zaidi kijamii. Kwamba Diamond anavuma kwa sababu ya umaarufu wake tu, lakini wako wengi.

Kuna namna za kulikabili hili tatizo kimkakati na kimfumo. Mfano, haya madawa yanaingiaje? Nani anahusika?

Kuna wafanyabiashara na watu wakubwa tu wanaoshiriki. Kwa nini hawadhibitiwi?

Unajua mambo mengine ni ya kimazingira tu, ukiwa katika mazingira ambayo pombe ipo nje nje kila siku, ni vigumu kukaa bila kunywa, madawa ya kulevya nayo ni hivyo hivyo.

Tukiweza kudhibiti biashara ya kuingiza madawa ya kulevya nchini, hapo tutakuwa tumepiga hatua kubwa.

Tukishindwa hapo, huku chini lazima kuwe na victims tu, na katika hao victims ndugu zetu na watu wanaotuhusu kwa njia moja au nyingine hawatakosa.
 
Wewe jamaa mbona unaonekana una akili zako tu?
Yani unataka kusema Diamond ana majukumu kuliko tajiri wa Dunia Elon Musk?
I rest my case!
Uwe muelewa basi, nani kasema ana majukumu mengi kuliko Elon? Nimesema mazingira ya kazi ya Diamond na Elon ni tofauti, Diamond ana mazingira magumu ya kazi kuliko Elon, katikati ya wasafi festival Diamond alisafiri kwenda Marekani kama sikosei mara 2 ndani mwezi mmoja. Sasa hapo unazijua changamoto za usafiri kati ya Elon na Diamond alaf bado arudi ajiandae wasafi festival?

Hao wasio tumia madawa ata kutumbuiza kwa masaa zaidi ya 2 kwenye stage na kwa nguvu km ya Diamond wanaweza?
 
Uwe muelewa basi, nani kasema ana majukumu mengi kuliko Elon? Nimesema mazingira ya kazi ya Diamond na Elon ni tofauti, Diamond ana mazingira magumu ya kazi kuliko Elon, katikati ya wasafi festival Diamond alisafiri kwenda Marekani kama sikosei mara 2 ndani mwezi mmoja. Sasa hapo unazijua changamoto za usafiri kati ya Elon na Diamond alaf bado arudi ajiandae wasafi festival?

Hao wasio tumia madawa ata kutumbuiza kwa masaa zaidi ya 2 kwenye stage na kwa nguvu km ya Diamond wanaweza?
Watu tofauti wana historia tofauti, uwezo tofauti kustahimili mambo, privileges tofauti, etc.

Hivyo si sawa kuwalinganisha.
 
Naomba nikujibu kistaarabu maana unaonekana una upeo wa akili.

Hayo majukumu ndiyo yamemfanya adondokee kwenye unga, kazi na uwekezaji katika hizo biashara zake vimemzidia na suluhisho alilolichagua ndio hilo.

Sikutaka kusema mengi sababu hii haikuwa sehemu ya lawama bali a wake up call.

Kama kweli unamkubali sana jamaa tafuta namna za kumnusuru, mimi ambaye wala sio shabiki yake nimekuja hapa kumpa onyo na ombi la kubadilika, wewe tafuta njia yako.

Kila kitu kina matokeo, mazuri au mabaya yote ni matokeo. Lakini, tunaweza kuamua aina ya matokeo ya kuyapokea.

Hii thread ni serious, sio cheap stunt na sina ninachonufaika na hilo hadi nifanye hivyo.
Kwa hiyo ww ndiye mwenye akili sana kuliko wabia wa Diamond kibiashara eg Pepsi na airtel kuwa balozi wao ni teja ila wakae kimya.

Em jaribu na ww kuwa uraibu kwenye kazi zako alaf uone mambo yatanyooka km ya Diamond. Akili za kuambiwa changanya na zako na usiwe km dodoki unachota kila kitu ata kwenye maji taka.

Huyo chid aliyekuwa akitumia madawa ya kulevya au mtu mlevi km chilla vp kwenye stage walikuwa na nguvu km Diamond?
 
Kama daima hukuwahi kuwa mhanga wa tatizo la dawa za kulevya unaweza usione uzito ama umuhimu wa thread hii ya kuonya.

Kwa nilivyoguswa na thread hii, leo naeleza familia yangu imetikiswa na tatizo hili baada ya dada yangu kujiingiza humo.

Dada yangu, nisimtaje, naye alikuwa maarufu. Aliingiza pesa nyingi ila baada kukosana na management yake tukashtukia akitumia.

Tulifanya kosa, tulichagua iwe siri kama alivyokuwa akitaka yeye. Kumbe Ilikuwa siri ya kujimaliza, tatizo lilikua badala ya kumalizika.

Hali ikawa mbaya, ofisi yangu ikajaribu kusaidia, lakini akaacha kwa muda na akarudia tena kwa ubaya zaidi hadi akawa kama kawehuka.

Kiukweli, hakuamua kuacha kwa dhati hadi tulipoamua suala lake kuliweka wazi, kila anayemfahamu akajua hali yake.

Hiyo ikasaidia akarudi nyumbani na akatuomba mwenyewe apelekwe sober. Tunashukuru kwa sasa ameondoka katika tatizo hilo.

Ila, hasara aliyopata ni kubwa. Alikua na maduka mawili ya nguo, yalifilisika. Alikuwa na gari mbili aliuza zote na alikuwa na nyumba aliuza.

Isitoshe, aliuza vitu vyake vya ndani vyote. Akawa sifuri. Alituomba aende nje akasomee uigizaji, tumefanya hivyo na sasa yuko nje.

Kwanini thread hii ni muhimu?

Ni kwa sababu, njia ya kumsema hadharani mtu anayetumia dawa za kulevya humfanya aone uzito wa kosa lake na kuchukua hatua.

Kwa uzoefu wa dada yetu, baada ya kutoroka nyumbani, tulipoamua kumsema hadharani alirudi nyumbani na kuomba apelekwe sober.

Aliona aibu kwani ile siri aliyoomba tumfichie ilifichuka. Na ilikuwa dawa kuu iliyomsaidia kubadilika, lakini tayari dawa zilishamfilisi.

Kumfichia siri hii Nassib hakuwezi kumsaidia kuondokana na tatizo hilo hadi azomewe kama hivi hadharani, ndivyo kumsaidia.

Kama hatutamuunga mkono Nifah na tukaona kama ana chuki na Nassib, muda utaongea na tutarudi na majuto kama sisi kwa dada yetu.

Ieleweke kuwa, hakuna mtumiaji wa dawa za kulevya anayefurahia utumiaji wa dawa hizo baada ya kuathirika, ila hulazimika.

Hili janga ni kubwa zaidi ya tunavyofikiri, ila huwezi kuuona ukubwa wake hadi liingie kwenye sebule ya familia yako.

Ova
Asante.
 
Watu tofauti wana historia tofauti, uwezo tofauti kustahimili mambo, privileges tofauti, etc.

Hivyo si sawa kuwalinganisha.
Sijafananisha attitude au perception ya mtu, nimefaninisha mazingira ya kazi note that.

Kabla ya Diamond lini uliona mwanamuziki wa kibongo amekuwa nominated for BET? Ila kwa nigeria ata upcoming ni rahisi kwake kupata hiyo fursa eg tems na sbb kubwa ni mazingira ya kazi yao ya Sanaa yapo juu kuliko ya yetu ya bongo na ndio maana kwenye tuzo kila siku tunamsikia Diamond tu kwann
 
Mie mtu akila Ngada simuonei huruma, Madogo wanasnif sana tu siku hizi ,wala hawajifichi
Mkuu hata wewe ungekuwa katika mazingira fulani na una baiolojia fulani ungekula tu.

Wakati mwingine huwa tunajiona wajanja kuepuka mishale fulani, wakati kiukweli hatujaiepuka mishale, ni mambo ya bahati tu, umezaliwa na wazazi fulani, ukapita njia fulani, umefikia hapo ulipofikia.

Ungepitia njia tofauti, hata kwa ajali ya kuzaliwa tu, inawezekana sana tu na wewe ungekuwa muhanga wa ngada.

Yani kuna watu wana DNA zinazowafanya waweze kuwa wahanga wa ngada kuliko wengine. Yani ile kuzaliwa na hizo DNA tu ni tatizo. Sasa hapo unaweza kumlaumu huyo mtu kwa sababu yeye kala mgada na wewe ambaye huna hizo DNA hujala?

Kwa hiyo usijione kuwa wewe umeweza kushinda vita kwa nini wao hawajaweza.

Inawezekana ukawa unamlaumu mtu wa Gaza kwa nini kapigwa bomu hajakwepa, wakati wewe uko Dar kwenu hakuna mabomu.
 
Mkuu hata wewe ungekuwa katika mazingira fulani ungekula tu.

Wakati mwingine huwa tunajiona wajanja kuepuka mishale fulani, wakati kiukweli hatujaiepuka mishale, ni mambo ya bahati tu, umezaliwa na wazazi fulani, ukapita njia fulani, umefikia hapo ulipofikia.

Ungepitia njia tofauti, hata kwa ajali ya kuzaliwa tu, inawezekana sana tu na wewe ungekuwa muhanga wa ngada.

Yani kuna watu wana DNA zinazowafanya waweze kuwa wahanga wa ngada kuliko wengine. Yani ile kuzaliwa na hizo DNA tu ni tatizo. Sasa hapo unaweza kumlaumu huyo mtu kwa sababunyeye kala mgada na wewe ambaye huna hizo DNA hujala?

Kwa hiyo usijione kuwa wewe umeweza kushinda vita kwa nini wao hawajaweza.

Inawezekana ukawa unamlaumu mtu wa Gaza kwa nini kapigwa bomu hajakwepa, wakati wewe uko Dar kwenu hakuna mabomu.
Bro mie nimepoteza madogo zaidi ya watatu kwa Ngada, akiwemo Langa, D Roby na wengineo ,maeneo ya Msasani /oysterbay ,mikocheni

Uzuri nimekaa na wauza Ngada na wavutaji, kuna madogo waliingia ktk ngada ile kujifanya wanyamwezi ,wakishua ,wako juu , kumbe wanapotea
 
Back
Top Bottom