Diamond Platnumz bado ni mshamba sana

Ila ana hela kutuzidi sisi sote
 
Mshamba mwenye hela kuliko wewe mjanja usiyejielewa hata mjini ulikuja kufanya nini😀😀😀

Usikariri. Siyo kila mtu alikuja mjini, wengine mjini ndiyo kwetu. Lakini karibu, jisikie nyumbani.
 

Vijana mnadanganyika sana. Kutofanya show bongo kipindi kile ilikuwa ni mkakati wa kibiashara ili kujiongezea thamani ila hakuna promoter wa kumlipa Diamond Tsh. Milioni 150 kwa kila show. Inaweza kutokea hapa na pale hasa kwenye mambo ya siasa.

Na wote mnakazania kipato chake. Mimi sikuleta hoja za kipato, hoja zangu zipo kwenye post ya kwanza, zijibuni hizo kama mna cha kujibu.
 
Umelipwa TZS ngapi kuja kumsema vibaya mwanaume mwenzio?

Ni maoni tu bro. Akiyachukua bila kinyongo yatamsaidia sana. Ningependa kuona anafika juu zaidi ya alipo.
 
Mtoa mada anasema kujua kuvaa no kuvaa mavazi yanayoendana na hali ya mazingira... Kama ujui Stylish bora ukakaa kimya usiandike utumbo...

Wahenga walisema usilolijua ni kama usiku wa kiza. Stylish bado inabidi kuvaa katika mazingira sahihi. Nyie ndiyo mnavaa cropped pants hata mnapoenda kuonana na Rais. ACHENI USHAMBA.

Mngeacha kuwa vichwa ngumu huu uzi ungewasaidia sana.
 
Hivi karne hii bado tu wafuatilia maisha ya wengine! Acha ushamba
 
Wahenga walisema usilolijua ni kama usiku wa kiza. Stylish bado inabidi kuvaa katika mazingira sahihi. Nyie ndiyo mnavaa cropped pants hata mnapoenda kuonana na Rais. ACHENI USHAMBA.

Mngeacha kuwa vichwa ngumu huu uzi ungewasaidia sana.
Wewe jamaa Diamond asanii sio muuza mkaa kama wewe mbona uwelewa wenu mdogo ninyi...ujui fashion wewe waangalie wakina Country Boy ndio ujue fashion ya sasahivi nguo zake nyingi za kama jacket hivi...fashion haingalii hali ya hewa ndio tunaita kuvaa wewe vipi ujawai kuona jamaa kavaa furana jeupe ndani kwa nje kavaa shati la jeans huko ndio kuvaa sio kuvaa kuendana na hali ya hewa.

Kama kitu hujui vyema ukakaa kimya jamaa...ukizungumzia hali ya hewa basi Tz tusinhekuwa na ma designer wa suti maana our entire life joto.

Kuna msemo mmoja “Fashion haingalii hali ya hewa”
 
Wahenga walisema usilolijua ni kama usiku wa kiza. Stylish bado inabidi kuvaa katika mazingira sahihi. Nyie ndiyo mnavaa cropped pants hata mnapoenda kuonana na Rais. ACHENI USHAMBA.

Mngeacha kuwa vichwa ngumu huu uzi ungewasaidia sana.
Angalia iyo picha ya Dogojanga na Bdozen hapo ukiringanisha nani kavaa Dogojanja ndio kavaa...unaitaji kutulia kujua nini maana ya kuvaa kuvaaa hakuangalii hali ya hewa nawashangaaga sana ashamba wanasema Diamond ajui kuvaa eti mcheki kiba anavaa simple kwahiyo kuvaa Simple ndio kuvaa kuna faida gani ya yeye kuwa msanii...Fashion asilimia 80 ni nguo nzito ambazo wewe unaziita za joto kama kwenye picha hizo hao ndio wamevaa unachozungumzia wewe kujistiri sasa kujistiri sisi wote tunajistiri ndio tunajistiri nguo zetu kuendana na mazingira.

So unapoandika kitu uwelewe sio unaandika tu kwaakiri yako inavyokutuma.

Wasanii wanaojua kuvaa
_Country Boy
_Dogojanja
_Diamond
_Jux
_Marioo
_Rayvanny


Wasiojua kuvaa
_alikiba
_christian bella
_FA
_Ommy nk
 
we seven mosha hii nguvu unayotumia kumshambulia mond kwanini usitumie kumbrand msanii wako kiba? unajua kiba akipotea we mjini hapa utakuwa sawa na dada poa tu?
 

Unajaza tu seva kwa mapichapicha ya washamba wengine. Kwanza mimi niliongelea kofia za kipindi cha baridi alizokuwa anavaa masaa 24 pamoja na kulala na kuamka nazo wakati yuko Mbagala. Wewe unanieletea habari za suti na majaketi.

Tatizo lenu wajuaji sana. Najaribu kuwaelekeza ukweli ila mnajifanya mmefika, haya!
 
Kumbe kichwa maji hujui hata hoja yako...
 
Wenye dunia yao,kupitia channel kubwa inayozungumzia mastaa wote wa Hollywood E,wamechagua Kuwania tuzo zao .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…