Diamond Platnumz bado ni mshamba sana

Diamond Platnumz bado ni mshamba sana

Jamaa kwanza kwenye uvaaji tu bado sana. Na tena afadhali ameacha kuvaa kofia za baridi wakati yuko Madale anatandikwa na jua kali, ilikuwa ni aibu.

Tuje kwenye uimbaji. Kila siku habari za mapenzi tena matusi. Hata kina Michael Jackson wameimba nyimbo za maisha kiujumla, yeye anataka kukaa kimya.

Tuje kwenye uchezaji. Diamond hajaweza kuwa na dance style yoyote iliyotrend Afrika. Kila siku anacopy style tena ambazo zimeshachoka.

Beyonce hakukosea. Bila nguvu za Makonda na CCM, Diamond ni kama Jux tu.

Inashangaza eti kuna mtu anamuweka level moja na Davido!!

Ningetoa ushauri ila sidhani kama utapokelewa kwa mikono miwili.

NYONGEZA: Sina chuki binafsi na Naseeb ila naona kipaji chake hajakitumia kikamilifu. Hana washauri wazuri. Washauri wenyewe nao sasa hivi wako busy wanagombania umaarufu huo huo.
Aiseeee huu ni wivu Grade1
Kiwango cha Sgr kabisa
 
Halipwi vizuri kwani ww manager wake kama una ushahidi wa mikataba weka hapa.

Kawaulize wasanii wa Mombasa Mondi 2017 kakunja 100m,Uganda mwaka jana kakunja mil 80 show ya mda mfupi tu.Sasa halipwi vizuri ww ulitaka alipwe sh ngapi?
 
Jamaa kwanza kwenye uvaaji tu bado sana. Na tena afadhali ameacha kuvaa kofia za baridi wakati yuko Madale anatandikwa na jua kali, ilikuwa ni aibu.

Tuje kwenye uimbaji. Kila siku habari za mapenzi tena matusi. Hata kina Michael Jackson wameimba nyimbo za maisha kiujumla, yeye anataka kukaa kimya.

Tuje kwenye uchezaji. Diamond hajaweza kuwa na dance style yoyote iliyotrend Afrika. Kila siku anacopy style tena ambazo zimeshachoka.

Beyonce hakukosea. Bila nguvu za Makonda na CCM, Diamond ni kama Jux tu.

Inashangaza eti kuna mtu anamuweka level moja na Davido!!

Ningetoa ushauri ila sidhani kama utapokelewa kwa mikono miwili.

NYONGEZA: Sina chuki binafsi na Naseeb ila naona kipaji chake hajakitumia kikamilifu. Hana washauri wazuri. Washauri wenyewe nao sasa hivi wako busy wanagombania umaarufu huo huo.
Duuuu jamaa umemkosea sana Diamond kwamba anatusua kwa msaada wa Mkolomije.. Japo kwenye Mavazi kweli bado Diamond hayupo vizuri kwenye fashion..
 
Halipwi vizuri kwani ww manager wake kama una ushahidi wa mikataba weka hapa.

Kawaulize wasanii wa Mombasa Mondi 2017 kakunja 100m,Uganda mwaka jana kakunja mil 80 show ya mda mfupi tu.Sasa halipwi vizuri ww ulitaka alipwe sh ngapi?

Ndiyo wabongo mnavyodanganywa hivyo kirahisi rahisi tu mnakubali.
 
Jamaa kwanza kwenye uvaaji tu bado sana. Na tena afadhali ameacha kuvaa kofia za baridi wakati yuko Madale anatandikwa na jua kali, ilikuwa ni aibu.

Tuje kwenye uimbaji. Kila siku habari za mapenzi tena matusi. Hata kina Michael Jackson wameimba nyimbo za maisha kiujumla, yeye anataka kukaa kimya.

Tuje kwenye uchezaji. Diamond hajaweza kuwa na dance style yoyote iliyotrend Afrika. Kila siku anacopy style tena ambazo zimeshachoka.

Beyonce hakukosea. Bila nguvu za Makonda na CCM, Diamond ni kama Jux tu.

Inashangaza eti kuna mtu anamuweka level moja na Davido!!

Ningetoa ushauri ila sidhani kama utapokelewa kwa mikono miwili.

NYONGEZA: Sina chuki binafsi na Naseeb ila naona kipaji chake hajakitumia kikamilifu. Hana washauri wazuri. Washauri wenyewe nao sasa hivi wako busy wanagombania umaarufu huo huo.
Kwa hiyo?
 
Wasanii watano wenye shoo utitiri kama Diamond?


Nakutajia 20.
Hayo mawazo yako na chuki zako binafsi.Kwani wasanii wote waliotamba wana dance zao binafsi?

Hebu nitajie dance binafsi ya Burnaboy,Patoranking,2 face Idibia?

Eti,msanii hana jipya,hana jipya kwako,msanii na show zaidi ya 90 karibia kila mwaka,hebu nitajie wasanii watano tu Africa wenye utitiri wa show kama Diamond.

Makonda ana mchango gani katika kupeleka mziki wa Diamond mbele?

Mbona Steve Nyerere na Bongo movie kila siku wapo na Makonda lkn hamna hata mmoja aliyefikia level za Kanumba.
 
Kutumika vibaya kivipi ?
Kwani anaiba au anakula kwenu?
We mwenye maono alimsaidia msanii gani kufikia level ya Diamond?

Manake unaweza unapiga kelele humu kumbe unakaa kwa shemeji,bando la shemu na unalala kwenye chuma kirefu.

Kijana hii inchi kila mtu ana uhuru wa kufanya atakacho ili mradi usivunje sheria za nchi.

Hayo mambo binafsi yanaingiaje? Na mimi sijaongelea issue binafsi za Diamond nimeongelea fani yake tu. Kipaji anacho na ni mtu wa kujituma sana, kasoro ndogo ndogo za kiutendaji zinamkwamisha.

Sanaa bongo inaendeshwa na watu wasio sahihi. Yamoto ingeweza kuwa kama Beatles (kama umewahi kuisikia) ukanda huu ila sijui imefia wapi.
 
Ndiyo wabongo mnavyodanganywa hivyo kirahisi rahisi tu mnakubali.
We usiyedanganywa weka mkataba wa malip ya Diamond?
Tuambie sie tunaodanganywa.
Soma hiyo mchanganuo.NB 5mil Ksh ni zaidi ya milioni 100 za kibongo.
OD2.jpg
 
Tatizo letu ni wabishi na wajuaji. Wanasiasa wametuharibu tunataka tusifiwe tu tukikosolewa ni vita.
Unakosoa maisha ya mtu binafsi anayetafuta mkate kwa njia yake halali,wewe vipi Diamond sio mwanasiasa,ambao wana wawakilisha wananchi.
 
We usiyedanganywa weka mkataba wa malip ya Diamond?
Tuambie sie tunaodanganywa.
Soma hiyo mchanganuo.NB 5mil Ksh ni zaidi ya milioni 100 za kibongo.
View attachment 1195959

Halafu mambo ya kipato haikuwa hoja yangu ya msingi. Umeacha yote niliyosema unakazania hii utadhani inaondoa ushamba niliosema.

Hizi ulizoweka ni sherehe za kisiasa, lazima msanii atalipwa vizuri labda uwe msanii usiyejitambua thamani yako.
 
Hayo mambo binafsi yanaingiaje? Na mimi sijaongelea issue binafsi za Diamond nimeongelea fani yake tu. Kipaji anacho na ni mtu wa kujituma sana, kasoro ndogo ndogo za kiutendaji zinamkwamisha.

Sanaa bongo inaendeshwa na watu wasio sahihi. Yamoto ingeweza kuwa kama Beatles (kama umewahi kuisikia) ukanda huu ila sijui imefia wapi.
Kutumika vibaya kivipi ?
Kwani anaiba au anakula kwenu?
We mwenye maono alimsaidia msanii gani kufikia level ya Diamond?

Watu sahihi wataje?
Wamevumbua vipaji vingapi?
Je na hivyo vipaji vilifika level gani?

Kwani yamoto ndio kundi la kwanza kufa,zamani kulikuwa na Gangwe Mob,East Coast,Wanaume,Wachuja nafaka,Solid groud family,Hot pot family,Nako2Nako ,Daz Nundaz ,Unique Sisters leo hii yapo wapi?

Ukiona mtu anafanya solo si kosa bali anataka kuongeza kipato chake.Hao Migos kundi bora la Hip Hop kwa sasa US akini sasa hivi kila mtu anafanya kazi zake binafsi.
 
Halafu mambo ya kipato haikuwa hoja yangu ya msingi. Umeacha yote niliyosema unakazania hii utadhani inaondoa ushamba niliosema.

Hizi ulizoweka ni sherehe za kisiasa, lazima msanii atalipwa vizuri labda uwe msanii usiyejitambua thamani yako.
Mbona unakuwa kama sigara kali si ulisema sisi tunadanganywa.
Haya hii hapa Uganda 2017 kalipwa Ugashs million 165 sawa na milioni 102 za Tz,je hii nayo ni event ya kisiasa.
 
Back
Top Bottom