Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona unakuwa kama sigara kali si ulisema sisi tunadanganywa.
Haya hii hapa Uganda 2017 kalipwa Ugashs million 165 sawa na milioni 102 za Tz,je hii nayo ni event ya kisiasa.
![]()
Ugandan Artistes Shocked By The Amount Of Money Paid To Diamond Platinumz - Chano8
It has been months since Diamond Platinumz was announced to be the main headliner at the Kampala City Carnival Charity Show that happened last night. With the saga surrounding his relationship including our very own Zari Hassan with whom they have two children, some people had threatened to...chano8.com
Mbona hoja zako Nishazijibu au kuna nyingine?Bro, soma hoja zangu za kwanza, wapi nimeongelea kipato? Nilikujibu vile baada ya wewe kuanza kulazimisha mada ibadilike.
Hili suala la kipato naliacha na sitaliongelea tena kwa sababu kipato cha msanii siyo alama ya umahiri wake na ni suala binafsi.
Kwamba hata Akina Michael Jackson waliimba nyimbo za maisha? Kwann Michael na siyo Kiba au davido?
Hata Akina Beyonce? Kwann Beyonce na siyo shilole na ruby?
Ndo ujue Mondi yuko anga zingine kabsa
Mbona hoja zako Nishazijibu au kuna nyingine?
Hayo mawazo yako na chuki zako binafsi.Kwani wasanii wote waliotamba wana dance zao binafsi?
Hebu nitajie dance binafsi ya Burnaboy,Patoranking,2 face Idibia?
Eti,msanii hana jipya,hana jipya kwako,msanii na show zaidi ya 90 karibia kila mwaka,hebu nitajie wasanii watano tu Africa wenye utitiri wa show kama Diamond.
Makonda ana mchango gani katika kupeleka mziki wa Diamond mbele?
Mbona Steve Nyerere na Bongo movie kila siku wapo na Makonda lkn hamna hata mmoja aliyefikia level za Kanumba.
Maswali yangi ww hata moja hujanijibu na nimekuuliza kutoka na ulivyo changia ktk huu uzi.
Kutumika vibaya kivipi ?
Kwani anaiba au anakula kwenu?
We mwenye maono alimsaidia msanii gani kufikia level ya Diamond?
Watu sahihi wataje?
Wamevumbua vipaji vingapi?
Je na hivyo vipaji vilifika level gani?
Burna boy Dola 50000 per perfomance....Nimeanza na huyo embu nambie Diamond anacost sh ngapi?Taja na thamani ya show zao.
Kutumika vibaya kivipi ?
Kwani anaiba au anakula kwenu?
We mwenye maono alimsaidia msanii gani kufikia level ya Diamond?
Watu sahihi wataje?
Wamevumbua vipaji vingapi?
Je na hivyo vipaji vilifika level gani?
Kwani yamoto ndio kundi la kwanza kufa,zamani kulikuwa na Gangwe Mob,East Coast,Wanaume,Wachuja nafaka,Solid groud family,Hot pot family,Nako2Nako ,Daz Nundaz ,Unique Sisters leo hii yapo wapi?
Ukiona mtu anafanya solo si kosa bali anataka kuongeza kipato chake.Hao Migos kundi bora la Hip Hop kwa sasa US akini sasa hivi kila mtu anafanya kazi zake binafsi.
Basi manka inatosha,msameheRoho ya korosho ukisikia kifo cha taratibu ndiyo wewe utakufa kwa wivu, fanya kazi upate pesa
10 million Naira akiwa nigeriaTaja na thamani ya show zao.
Hiyo hela anayolipwa Burnboy sasa hivi Mondi alikuwa akilipwa 2017 .Kasome post namba 30 na 40 na nimeweka na reference.Burna boy Dola 50000 per perfomance....Nimeanza na huyo embu nambie Diamond anacost sh ngapi?
Mimi na ww nani nani shabiki,nimekuwekea na Reference,ww hujaweka chochote zaidi ya maneno.Show 90 wewe ni underground. Diamond kwa muda aliokaa kwenye game hakutakiwa kuwa mtu wa kukimbizana na show 90 bro. Siyo wivu au chuki ila ndiyo ukweli.
Najua hautanielewa ninachotaka kusema kwa kuwa wewe unaleta ushabiki.
Ila kama unavyosema kila mtu na life yake, au siyo?
Hiyo hela anayolipwa Burnboy sasa hivi Mondi alikuwa akilipwa 2017 .Kasome post namba 30 na 40 na nimeweka na reference.
Haya sasa nipe sababu ya kumtaja Makonda na CCM na reference ya hicho unachokiongea.We jamaa umekazania hela. Hivi unadhani kwa nini nimemtaja Makonda na CCM? Nionyeshe akifanya show Marekani au hii ya Ujerumani analipwa kiasi gani?
Ungeweza kuandika kama ushauri ungekuwa umefanya kitu cha maana sana..
Lakini kumponda mtu ambaye ana mind business zake na hata hakujuwi na ikizingatia maisha yako ni magumu .. umeonekana bwabwa mbele za wanaume... Unaitwa mbeya na mwenye chuki.
Bado mawazo yako can be constructive kama utayatoa kama ushauri na si kijembe cha kike
Wewe si mzima hebu msome huyu msanii hapo Ed kapiga show 260 ndani ya miaka miwili na nusu na nimegundua nabishana na asiyejua mziki ,usiku mwema .Show 90 wewe ni underground. Diamond kwa muda aliokaa kwenye game hakutakiwa kuwa mtu wa kukimbizana na show 90 bro. Siyo wivu au chuki ila ndiyo ukweli.
Najua hautanielewa ninachotaka kusema kwa kuwa wewe unaleta ushabiki.
Ila kama unavyosema kila mtu na life yake, au siyo?
Haya sasa nipe sababu ya kumtaja Makonda na CCM na reference ya hicho unachokiongea.
Za US na Germany sijui,sababu sina reference,ila kwa mujibu wa Diamond sasa hivi anafanya show kwa dola 75000.
Maswali yangu hujayajibu.
Kutumika vibaya kivipi ?
Kwani anaiba au anakula kwenu?
We mwenye maono alimsaidia msanii gani kufikia level ya Diamond?
Watu sahihi wataje?
Wamevumbua vipaji vingapi?
Je na hivyo vipaji vilifika level gani?