Diamond Platnumz bado ni mshamba sana

Diamond Platnumz bado ni mshamba sana

Mind your own BIZ

Jamaa kwanza kwenye uvaaji tu bado sana. Na tena afadhali ameacha kuvaa kofia za baridi wakati yuko Madale anatandikwa na jua kali, ilikuwa ni aibu.

Tuje kwenye uimbaji. Kila siku habari za mapenzi tena matusi. Hata kina Michael Jackson wameimba nyimbo za maisha kiujumla, yeye anataka kukaa kimya.

Tuje kwenye uchezaji. Diamond hajaweza kuwa na dance style yoyote iliyotrend Afrika. Kila siku anacopy style tena ambazo zimeshachoka.

Beyonce hakukosea. Bila nguvu za Makonda na CCM, Diamond ni kama Jux tu.

Inashangaza eti kuna mtu anamuweka level moja na Davido!!

Ningetoa ushauri ila sidhani kama utapokelewa kwa mikono miwili.

NYONGEZA: Sina chuki binafsi na Naseeb ila naona kipaji chake hajakitumia kikamilifu. Hana washauri wazuri. Washauri wenyewe nao sasa hivi wako busy wanagombania umaarufu huo huo.
 
Wewe si mzima hebu msome huyu msanii hapo Ed kapiga show 260 ndani ya miaka miwili na nusu na nimegundua nabishana na asiyejua mziki ,usiku mwema .

Kwa hiyo unamlinganisha Diamond na Ed Sheeran sasa? Ungezingatia yote niliyoyaandika kwenye uzi huu usingefanya hivyo kabisa.
 
kwa hio umekaaa weee ukaona kumsema mondi utaenjoy......tafuta hela boss acha useee ......article of no commercial value
 
Kwa hiyo unamlinganisha Diamond na Ed Sheeran sasa? Ungezingatia yote niliyoyaandika kwenye uzi huu usingefanya hivyo kabisa.

"Show 90 wewe ni underground. Diamond kwa muda aliokaa kwenye game hakutakiwa kuwa mtu wa kukimbizana na show 90 bro. Siyo wivu au chuki ila ndiyo ukweli. "

Mziki hujui ww,msanii mkubwa lazima uwe na show nyingi kwa mwaka.
 
"Show 90 wewe ni underground. Diamond kwa muda aliokaa kwenye game hakutakiwa kuwa mtu wa kukimbizana na show 90 bro. Siyo wivu au chuki ila ndiyo ukweli. "

Mziki hujui ww,msanii mkubwa lazima uwe na show nyingi kwa mwaka.

Kawaida msanii anaenda kwenye tour ndefu akiwa ametoka kutoa album.
 
Usisumbuane na huyu jamaa...
Mwambie tu atume sceenshot ya mpesa yake...
Unakuta mtu hana hata buku kazi kumponda diamond

Unaweza kuwa na hela ukawa mshamba vilevile.
 
Mwalimu wako anatabu,imeandikwa wapi,ili uwe na tour ndefu lazima uwe umetoka kutoa album.

'Kawaida' umegeuza 'ili uwe'.

Ed Sheeran ametoa album 2017 na nyingine 2019, tour uliyoipost ilikuwa kusupport hizo album.
 
'Kawaida' umegeuza 'ili uwe'.

Ed Sheeran ametoa album 2017 na nyingine 2019, tour uliyoipost ilikuwa kusupport hizo album.
Kwa hiyo ukitoa ep na single moja hurusiwi kufanya tour?

Kijana ukiona msanii anatoa single mbili au tatu alafu ana show zaidi ya 90 jua huyo sio wa kawaida,hizi tour hapangi yy ila mapromoto wanamuhitaji,sasa ww endelea kukalili,wenzako ndio wanapiga hela na hawana album.

USIKU MWEMA hii comment ya mwisho .
 
Kwa hiyo ukitoa ep na single moja hurusiwi kufanya tour?

Kijana ukiona msanii anatoa single mbili au tatu alafu ana show zaidi ya 90 jua huyo sio wa kawaida,hizi tour hapangi yy ila mapromoto wanamuhitaji,sasa ww endelea kukalili,wenzako ndio wanapiga hela na hawana album.

USIKU MWEMA hii comment ya mwisho .

Hahaha! Jamaa anatour Geita, Simiyu na Mtwara unamlinganisha na Ed Sheeran? Wahudhuriaji waendesha bodaboda!

Tutafika tu lakini.
 
Unapingana na definition hiyo? Siku hizi tuna watu wengi mbona wa namna hiyo.
Sasa mkuu unakuwaje mjanja halafu huna pesa... ujanja ni pesa.. ukiwa mjanja utapata njia ya kusaka hela..

Sasa mjanja gani maskini?? Au ujanja wako ni kuvaa nguo nzuri n.k
 
Back
Top Bottom