Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenye dunia yao,kupitia channel kubwa inayozungumzia mastaa wote wa Hollywood E,wamechagua Kuwania tuzo zao .
View attachment 1198100
Including you.Safi sana. Wenye wivu wajinyonge.
Mweupe huna hoja.Hongera zake ila hachomoki kwa King Davido. Hata Yemi Alade angemkimbiza.
Sijui kwa nini mmeshindwa kuelewa hoja zangu. Nataka tu kumsaidia dogo. Sina wivu na mtu yoyote maishani mwangu.
Kwani ww unaonaje?We unaonaje, tunarudi na kombe?
Toka umefungua huu uzi umeachieve nini kwa kumjadili Diamond kama mshamba?Usikariri. Siyo kila mtu alikuja mjini, wengine mjini ndiyo kwetu. Lakini karibu, jisikie nyumbani.
Toka umefungua huu uzi umeachieve nini kwa kumjadili Diamond kama mshamba?
Kwani ww unaonaje?
Mpaka E wamumwona,jua huyo dogo wa B12 wamemuona na ana mchango ktk hiyo single.We jamaa hujui mziki kwani kufanya Collabo na Criss Brown na kuchukua tuzo vina uhusiano gani?Mi naona jamaa anaenda kuburuzwa vibaya. Nashauri hata asiatendi hizo awadi. Haha!!
King Davido ametoka kuachia ngoma na CB. Diamond anarekodi na wasanii waliosahaulika kwenye gemu kama yule dogo wa B12 na Hadija Kopa.