BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
Viwanda vipi? Unaongelea mkuu
Kumbe mashabiko nlijua mashabiki! Kwanu wanaotazama YouTube ambapo bwana diamond kaachwa mbaal ni akina nani? Siyo MASHABIKO wake!
Katika jamii yoyote upendo hujengwa kwa kuanza na misingi
Licha ya kuwa watu mbali mbali hasaa mitandaoni kuibuka na kuungana kwa kuonesha chuki za wazi juu ya msanii Diamond platnamz .Bado wameshindwa kwa maana Diamond tayari alisha jenga misingi na anapendwa na watu wengi
Katika kuthibisha hilo ripoti ya mtaani inaonesha kwanza wimbo wa zilipendwa unapendwa zaidi na kupigwa kuliko nyimbo yoyote tanzania
Mashabiko mbali mbali bila hata promo wameonekana wakiucheza wimbo huo katika style ya comedy zaidi huku wengine wakisimama barbarani wakimtaja diamond na kumpongeza
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli we live to die..rejected and alone. Yaani peke yako kaburini...duh! Its scary. Hata wanaokupenda siku hiyo watakuogopa hakuna ataekubali kulala na wewe chumba kimoja.
Kweli we live to die..rejected and alone. Yaani peke yako kaburini...duh! Its scary. Hata wanaokupenda siku hiyo watakuogopa hakuna ataekubali kulala na wewe chumba kimoja.
Hapo ndo lazima tukiri God ndie master of everything.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua kwamba...Death is the only adventure I have left.True fact
Unajua kwamba...Death is the only adventure I have left.
I'm just curious kujua kuna nini huko upande wa pili!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona na nyie hamtaki kuona mafanikio ya Kiba...
Mimi niko tofauti sana tangia nijifunze kuishi rohoni nimeanza kukichukulia kifo kama kubadilisha tu ndinga unashuka hii then unapanda ile kutoka kuishi mwilini then tunaamia kuishi rohoni simple as that.Aiseee naogopa ila hakuna namna ya kukikwepa.
Upande wa pili ni fumbo kubwa ndo maana wanaoenda hawana ruhusa ya kurudi hata ndotoni kuhadithia wayaonayo huko.
mshana jr atakuja kesho kufafanunua na uzi mwingineMimi niko tofauti sana tangia nijifunze kuishi rohoni nimeanza kukichukulia kifo kama kubadilisha tu ndinga unashuka hii then unapanda ile kutoka kuishi mwilini then tunaamia kuishi rohoni simple as that.
Ukifikiria mwili kuoza na kuachwa kaburini mwenywe ndo ufahamu unavurugwa kabisaaa. Ila kifo kina siri kubwa saana. mshana jr help out should we fear death or what!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wengi huenda shule kusomea ujinga....courtesy FaizaFoxKwanza ni ujinga kabisa kijana kuja JF na kuuliza possible za maswali ya Interview.
Vijana wa Tanzania sijui nani aliyeturoga,yani msomi kabisa unaulizia maswali ya kwenye interview,sasa huko shule ulifuata nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona na nyie hamtaki kuona mafanikio ya Kiba...
Ina maana yeye hastahili mafanik
Hapana mkuu ni kwamba hizi timu zimejaa chuki..Na kiba yeye hajitumi kwenye Kazi kama mwenzake na mwenzakw akifanikiwa anaona wivu hili suala halifai kabisa sababu MTU huvuna alichokipanda sasa chuki za niniMbona na nyie hamtaki kuona mafanikio ya Kiba...
Ina maana yeye hastahili mafanikio au?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie hamjui tu. Mond sio mjinga. Haya yote ameyaanzisha ili kuzima vuguvugu la mwanae kwa mobeto.
Katika jamii yoyote upendo hujengwa kwa kuanza na misingi
Licha ya kuwa watu mbali mbali hasaa mitandaoni kuibuka na kuungana kwa kuonesha chuki za wazi juu ya msanii Diamond platnamz .Bado wameshindwa kwa maana Diamond tayari alisha jenga misingi na anapendwa na watu wengi
Katika kuthibisha hilo ripoti ya mtaani inaonesha kwanza wimbo wa zilipendwa unapendwa zaidi na kupigwa kuliko nyimbo yoyote tanzania
Mashabiko mbali mbali bila hata promo wameonekana wakiucheza wimbo huo katika style ya comedy zaidi huku wengine wakisimama barbarani wakimtaja diamond na kumpongeza
Sent using Jamii Forums mobile app
Wafaa kubinuliwa, tukutane PM mrembo.Vijana mko kazini. Naona ametumia njia nyingi kupoteza seduce. Mara ndoa mara nyimbo ya Fid Q, mara kutukana mother fucker mtandaoni cjui alikua anamutukana mamaake. Sielewagi maana ya mother fucker ila najua mother ni mama mzazi
Sasa naona amekuja nahuu upuuzi. Kwani kuna mtu amesema anataka kumshusha niyeye tu atajishusha.
Anakuja na jeuri ya nyumba, magari ajiulize mme mwenzie yuko wapi sahivi. Ambao alikua hamfikii hata robo.
Bora Le mutuzi ever humbled
Sent using Jamii Forums mobile app
iwe kama USA enzi za za Tupac na BIGTulipofikia hapa inabidi izi timu zimiliki bunduki tu
sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA