Diamond Platnumz hili la kumfananisha demu (msichana) wako na Yesu (Mungu) utuombe radhi wakristo na utubu au wimbo wake ufungiwe na BASATA

Hoja hapa ni kumfananisha Yesu na GF wako,hayo mengine kuna nyuzi zipo kuhusu Yesu ni Mungu au vipi!
Tusipoteze focus ya uzi,Diamond aombe radhi na aufute wimbo huo!
Vipi kuhusu alie uwonja utamu wa Yesu
 
Huyo msichana atakufa kama meko.

Tena kifo kibaya.
Binadamu akifananishwa na Mungu atakufa kifo kibaya
 
Social experiment kama kawaida
 
Dah kumbe walijikoroga wao wenyiwao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…