Diamond Platnumz hili la kumfananisha demu (msichana) wako na Yesu (Mungu) utuombe radhi wakristo na utubu au wimbo wake ufungiwe na BASATA

Umesahau Mungu oyeeeee!
 
Jamaa anakunywaga mvinyo kwenye kikombe cha shetani pia usisahau kulaani kitendo cha wasaka tonge kumfananisha joka letu yesu masia
 
Kristo uwa anapigana vita mwenyewe hapiganiwi na wanadamu... Mungu aliye hai hupigana vita yake mwenyewe akitaka ukiona Mungu anapiganiwa vita jua ni fake hana hata uwezo wa kupambana mpaka apambaniwe....
So kama Yesu hajapenda atapambana tu.
 
Mtoa mada acha udini, umejaribu kuruka baadhi ya vitu ili kuleta udini!! Emu rudia kusikiliza mashairi hayo nahisi utaelewa zaidi, kukurupuka sio kuzuri!!
Usitake kuleta mambo ya facebook , huku ni jamii forum
 
See now
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…