Hapana aisee, sema tu anaweza asiwe serious sana kwa sababu kimsingi Mond sio mpenzi wa soka but trust me, kwa influence aliyo nayo jamaa, kama anakuwa na timu fasta tu inakuwa na rundo la mashabiki nyuma ya Yanga na Simba! Hata ukiangalia ile Wasafi Media, ime-takeoff haraka sana kwa sababu ya influence yako. Kwa sababu jamaa tumchukie au tumpende, ukweli kwamba ana loyay fans ni ukweli usiopingika! Halafu tena yule jamaa anaweza kuwa na mashabiki wengi wa kuishangilia Wasafi FC pengine kuliko hao Simba na Yanga! HOW?! Siku ya Wasafi FC vs Yanga, mashabiki wa Wasafi walio Simba wanakuwa upande wao, and vice versa! Siku ya Wasafi vs Azam (kwa mfano), Fans wa Wasafi walio Simba na Yanga wanahamia Wasafi!!
Ndo vile tu kuna watu jamaa hawataki kumkubali lakini mara nyingi huwa anawa-prove watu wrong!!! Bado sijasahau mjadala Mond kuanzisha Tv hapa hapa JF miaka 4-5 iliyopita! Wengi wakawa wanakejeli kwamba labda aanzishe online tv!!