Diamond Platnumz interview with Sports Arena (Exclusive)

Diamond Platnumz interview with Sports Arena (Exclusive)

Dah haka kajamaa kanatu-outsmart Sana tuliopita pita vyuoni. Shame on us
Je na Bakhresa unamuweka wapi?Hata ukiweka maprofesa wote wa bongo kina Kabudi hawamfikii.Ile Hotel yake ya Zanzibar,bahari ilisogezwa/land reclamation ndio ikajengwa.Yaani hayo mambo tuliyasoma kwenye geography secondary yalikuwa yanafanyika huko Netherlands!
 
Hapana aisee, sema tu anaweza asiwe serious sana kwa sababu kimsingi Mond sio mpenzi wa soka but trust me, kwa influence aliyo nayo jamaa, kama anakuwa na timu fasta tu inakuwa na rundo la mashabiki nyuma ya Yanga na Simba! Hata ukiangalia ile Wasafi Media, ime-takeoff haraka sana kwa sababu ya influence yako. Kwa sababu jamaa tumchukie au tumpende, ukweli kwamba ana loyay fans ni ukweli usiopingika! Halafu tena yule jamaa anaweza kuwa na mashabiki wengi wa kuishangilia Wasafi FC pengine kuliko hao Simba na Yanga! HOW?! Siku ya Wasafi FC vs Yanga, mashabiki wa Wasafi walio Simba wanakuwa upande wao, and vice versa! Siku ya Wasafi vs Azam (kwa mfano), Fans wa Wasafi walio Simba na Yanga wanahamia Wasafi!!

Ndo vile tu kuna watu jamaa hawataki kumkubali lakini mara nyingi huwa anawa-prove watu wrong!!! Bado sijasahau mjadala Mond kuanzisha Tv hapa hapa JF miaka 4-5 iliyopita! Wengi wakawa wanakejeli kwamba labda aanzishe online tv!!
Diamond ana influence kubwa ktk kila jambo linalohusiana na muziki mpira ni kitu kingine kabisa bakhresa na mihela yake yote na uwekezaji mkubwa alioufanya bado hafurukuti mbele ya simba na yanga kwa kila kitu hadi mashabiki sembuse mond mwenye hela za kuunga unga, hizi simba na yanga ziache km zilivyo hakuna MTU yoyote anayeweza kuzishusha pale juu hata kwa mabomu huyo mond mwenyewe simba,bakhresa ana azam ila ni shabiki wa simba damu na hii kitu ya kuamini ukiwa maarufu kwenye muziki ukifanya michongo wowote nje ya muziki utafanikiwa eti kisa ni maarufu kwenye muziki hii kitu inawafelisha sana wasanii
 
Diamond ana influence kubwa ktk kila jambo linalohusiana na muziki mpira ni kitu kingine kabisa bakhresa na mihela yake yote na uwekezaji mkubwa alioufanya bado hafurukuti mbele ya simba na yanga kwa kila kitu hadi mashabiki sembuse mond mwenye hela za kuunga unga, hizi simba na yanga ziache km zilivyo hakuna MTU yoyote anayeweza kuzishusha pale juu hata kwa mabomu huyo mond mwenyewe simba,bakhresa ana azam ila ni shabiki wa simba damu na hii kitu ya kuamini ukiwa maarufu kwenye muziki ukifanya michongo wowote nje ya muziki utafanikiwa eti kisa ni maarufu kwenye muziki hii kitu inawafelisha sana wasanii
Umeelewa nilichoandika? Wapi nimesema anaweza kuzishusha Simba na Yanga, au angalau kuilinganisha na Simba na Yanga?!
 
Back
Top Bottom