KITINDIKITAMU
Senior Member
- Nov 3, 2019
- 189
- 356
Hizi chaikwa mtima nyongo alioufanya kondeboy
kwa kuzunguka mlango Wa nyuma kumuibia alikiba deal la CRDB bank,
tena yeye akasema atatangaza huduma kama ambassador kwa punguzo kubwa almost nusu ya kiwango ambacho CRDB walipanga wampe alikiba kwa Kama angekuwa balozi
so harmonize akavunja bei na kujirahisishia bei ili achukue deal,crdb wakaona afadhali kiuchumi
Nadhani sasa huo ndio mwanzo wa vita nyingine Kati ya Kondeboy na alikiba.
Hizi chai
Harmonize yupo vizuri kwenye branding,huo ndio ukweli wenyewe.
Mmmh binamu wee nae huenda hata ya south sio yakee, naamini hivyoIla wambea walisemaga tukawaona wana wivu, lol ... wambeya huwa hawasemag uongo na usikute ile ya south pia sio yake..
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mmmh binamu wee nae huenda hata ya south sio yakee, naamini hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
labda mambo ya kichawi na kuvaa mapete vidole vyote kumi vya mikonoMay be Mkubwa Fella.
...JAMAA AMEPEVUKA KIAKILI ILA KIUKWELI HAWEZI KUMFIKIA KING KIBA YULE JAMAA ANA MAAKILI SANA
INASEMEKANA KTK WATU WANAONGOZA KWA IQ DUNIANI NI YEYE SEMA AMEIKATAZA HIO TOVUTI KUWEKA JINA LAKE SABABU HAPENDI SHOW OFF
Sure,fella namkubali sana napendaga hata interviews zake jamaa ni real brother.May be Mkubwa Fella.
Akipanga Mondi ana akili wakipanga wengine hawajielewi MAKENGE ni wengi sana MJINI HAPA...siyo alihama madale coz ya hadhi yake aseme aliona aibu baada ya kujiaminisha yy ndo mwenye pesa na mjengo mkali afu akashangaa mtu KAHAMIA GHOROFANI TABATA ikabidi atoke mafichoni atafute ghorofa la kupanga mbezi ili aballance story puuuumbav,kama kujenga that called a dream house si angeanza wakati bado yupo madale?..iwaje akimbie nyumba yake na aanze kujenga akiwa kwenye nyumba ya kupanga?...KIBA KIMBIZA HUYO KIMA HADI AKILI IKAE SAWA.
Sent using Jamii Forums mobile app
So ndo hapo Sasa nashangaa miee, uwiiiiiiiiihBi Sandra angekua kashahamia long time , tungekua tunaona mapicha tu
Sent from my iPhone using JamiiForums