Diamond Platnumz: Jana nimeongea na Zari kwa mara ya kwanza...

Diamond Platnumz: Jana nimeongea na Zari kwa mara ya kwanza...

kwa mtima nyongo alioufanya kondeboy
kwa kuzunguka mlango Wa nyuma kumuibia alikiba deal la CRDB bank,

tena yeye akasema atatangaza huduma kama ambassador kwa punguzo kubwa almost nusu ya kiwango ambacho CRDB walipanga wampe alikiba kwa Kama angekuwa balozi

so harmonize akavunja bei na kujirahisishia bei ili achukue deal,crdb wakaona afadhali kiuchumi

Nadhani sasa huo ndio mwanzo wa vita nyingine Kati ya Kondeboy na alikiba.
 
kwa mtima nyongo alioufanya kondeboy
kwa kuzunguka mlango Wa nyuma kumuibia alikiba deal la CRDB bank,

tena yeye akasema atatangaza huduma kama ambassador kwa punguzo kubwa almost nusu ya kiwango ambacho CRDB walipanga wampe alikiba kwa Kama angekuwa balozi

so harmonize akavunja bei na kujirahisishia bei ili achukue deal,crdb wakaona afadhali kiuchumi

Nadhani sasa huo ndio mwanzo wa vita nyingine Kati ya Kondeboy na alikiba.
Hizi chai

Harmonize yupo vizuri kwenye branding,huo ndio ukweli wenyewe.
 
Kiba siyo mtu wa kujichanganya kutafuta madili,hizi ni story tu za kutunga ili kuficha aibu ya alikiba
Hizi chai

Harmonize yupo vizuri kwenye branding,huo ndio ukweli wenyewe.
 
Njoo uone Zack Snyder
...JAMAA AMEPEVUKA KIAKILI ILA KIUKWELI HAWEZI KUMFIKIA KING KIBA YULE JAMAA ANA MAAKILI SANA


INASEMEKANA KTK WATU WANAONGOZA KWA IQ DUNIANI NI YEYE SEMA AMEIKATAZA HIO TOVUTI KUWEKA JINA LAKE SABABU HAPENDI SHOW OFF
 
Ila anagesema mtu mwingine KAPANGA ingekuwa hekaheka mjini hapa ila bwana nasibu ana akili kupanga...ama kweli kupenda upofu.
 
Akipanga Mondi ana akili wakipanga wengine hawajielewi MAKENGE ni wengi sana MJINI HAPA...siyo alihama madale coz ya hadhi yake aseme aliona aibu baada ya kujiaminisha yy ndo mwenye pesa na mjengo mkali afu akashangaa mtu KAHAMIA GHOROFANI TABATA ikabidi atoke mafichoni atafute ghorofa la kupanga mbezi ili aballance story puuuumbav,kama kujenga that called a dream house si angeanza wakati bado yupo madale?

Iwaje akimbie nyumba yake na aanze kujenga akiwa kwenye nyumba ya kupanga?...KIBA KIMBIZA HUYO KIMA HADI AKILI IKAE SAWA.
 
Akipanga Mondi ana akili wakipanga wengine hawajielewi MAKENGE ni wengi sana MJINI HAPA...siyo alihama madale coz ya hadhi yake aseme aliona aibu baada ya kujiaminisha yy ndo mwenye pesa na mjengo mkali afu akashangaa mtu KAHAMIA GHOROFANI TABATA ikabidi atoke mafichoni atafute ghorofa la kupanga mbezi ili aballance story puuuumbav,kama kujenga that called a dream house si angeanza wakati bado yupo madale?..iwaje akimbie nyumba yake na aanze kujenga akiwa kwenye nyumba ya kupanga?...KIBA KIMBIZA HUYO KIMA HADI AKILI IKAE SAWA.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ahahah lol


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
acha warudiane maana waoto wanampenda sana baba yao alafu mama anaweka kauzibe, pia anafifisha nyota zao na dilli zao
 
Back
Top Bottom