Diamond Platnumz, jiandae kufa kisanii endapo utakubaliana na mikakati ya CCM

Nadhani its time binadamu lazima tujue kutofautisha baina ya KAZI na Siasa Dai akipigia debe CCM,CUF,AU chama chochote.

As long as wanamlipa na nimkataba afenye,siasa awaachie wenyewe....
 

Mkuu tunahitaji mrejesho, ulivyofunguka hiyo 2015 ndio mwisho wake...

Nanukuu kutoka kwenye wimbo wake wa "Nitampata wapi" alikwambia "Lazima ujue kutofautisha kati ya msalaba na jumlisha, kuna X na Γ—" Nadhani utabiri mbovu wa namna hii hautajirudia 2020..
 
Hahahahh naona Leo unataka feedback mkuu.
 

Dua la kuku, kwikwikwi!
 
Kuna kitu watanzania bado hatuelewi sijui ni makusudi 2, yani kwa level aliyofkia diamond kusubil ashuke labda afe, coz at aharibu vp tanzania bado yy ni msanii wa kimataifa so haitompa shida ata kidogo, na mnakosea sana kumfananisha Diamond na wakina marlow, mr nice level zao zilikuwa local sana
 
Ali Kiba ndio yupo hoi bin taaban,Diamond kapiga promo CCM, kalamba mkwanja na anapaa kimataifa
 
π™·πš‘πšŠπš‘πšŠ πš•πšŽπš˜ πš πšŠπš—πšŠπš›πšžπšπš’ πšπšŽπš—πšŠ πšŽπšπš’πš’πš’
 
Kaburi limefukuliwa πŸ₯ΆπŸ₯ΆπŸ₯ΆπŸ₯Ά
 
Kazi kweli kweli, sisi wengine yetu macho tuu...
Napenda maendeleo yake Sadala ila kuna siku alitoa maneno mazito kuhusu wanawake ilibidi niUnfollow kule Ig,Mimi nawaheshimu sana wanawake...
sipendi yanayoendelea dhidi yake ila nadhani kuna jambo atajifunza,

Nikikumbuka ukubwa wa Sir Nature kibla nyakati zile na sasa, kijana ajifunze kuweka akiba ya maneno
 
Diamond platnumz akifa kisanii ndio utakuwa mwanzo wa kuporomoka mziki wa bongo fleva.
Diamond πŸ’Ž ananyota kama ya Kanumba, yani akifa na wanamziki wa bongo fleva wanarudi kuwa msikni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…