Diamond Platnumz Jifunze kufanya show kama aliyofanya Davido Usiku wa jana O2 Arena UK

Diamond Platnumz Jifunze kufanya show kama aliyofanya Davido Usiku wa jana O2 Arena UK

Usiku wa jana msanii Davido alifanya onyesho la Muziki na kufanikiwa kuujaza uwanja wa O2 Arena wa nchini England ambao unao uwezo wa kujaza Mashabiki 20,000. Katika onyesho hilo Davido alionekana kumiliki Stage vizuri huku akiimba mwanzo kwisho na Sio kuwaachia mashabiki waimbe wenyewe kama afanyavyo Msanii Diamond platnumz kitu ambacho kimekuwa kikiwakera mashabiki wengi katika Show zake za nyuma hasa ile ya Kenya.


View attachment 1007043

Diamond unatakiwa ujifunze kumiliki stage vizuri kama afanyavyo Davido, Usipende kuacha mashabiki waimbe kwani wao wameingia kukusikia wewe, jifunze Kuimba Nyimbo mwanzo hadi Mwisho ili kukta kiu ya mashabiki wako na sio kukata kata nyimbo hovyo hovyo kama afanyavyo DJ waka RJ, ukifanya hivyo utaendelea kuharibu.



Sent using Jamii Forums mobile app
Itakuwa kajifunza kitu. Mana nimeona amempa hongera na davido akacoment kushukuru.

Sent from my Nokia 6 using Jamii Forums mobile app
 
51138296_752435895120974_6375206058385735680_n.jpg
51138296_752435895120974_6375206058385735680_n.jpg

Show yake hii hapa anafanya na shehena
 
Kwenye jukwaDavido ni mweupe hajui kulitawala jukwaa na sauti inawahi kukata.Msanii wa Nigeria ninaye mkubali ni MR Flavor yule amaa anajua kulitawala jukwaa,Davido anazunguka zunguka baada ya nusu saa sauti inakata,sema Davido ni maarufu kuliko Diamond ,pili mziki wa Nigeria ndio umeshika Afrika ,kwa hiyo kujaza hiyo Arena kwa Davido si shangai.Tumemuona next door Masaki wa kawaida, akiwa kwenye jukwaa.

Sasa mulipokua mkimlinganisha nae mulikua munatumia vigezo gani?
 
Back
Top Bottom