Katisha kivipi sasakiukweli kijana wetu katsha sn n baada ya kutua bungen na kushangiliwa na wabunge wa pande zote mbili bila kujali itikadi ya vyama vyao... nafkir ndio msanii wa kwnz nchin kupata mapokez ya nguvu kutoka kw wabunge wetu... ifikie wakat iz team zote zikae chini zimpe heshima icon wetu maana hana mpinzan.
kiukweli kijana wetu katsha sn n baada ya kutua bungen na kushangiliwa na wabunge wa pande zote mbili bila kujali itikadi ya vyama vyao... nafkir ndio msanii wa kwnz nchin kupata mapokez ya nguvu kutoka kw wabunge wetu... ifikie wakat iz team zote zikae chini zimpe heshima icon wetu maana hana mpinzan.
unaharaka ya wap ndugu...! nkanu=nkamuImbombo ngafu nkanu
Bunge lilirushwa live?
sijui barna...ila haya mambo ya kuitana na wasanii ikulu sijui bungeni siyaelewi kivileee!!nkahisi yalishaondoka na tezi dume
Mmbonekesyege bhatata na bhajubhaunaharaka ya wap ndugu...! nkanu=nkamu
Imbombo ngafu nkanu
unaharaka ya wap ndugu...! nkanu=nkamu
Hizi posti mbili zimsubiri masopakyindi kwa ajili ya majibu sahihiImbombo ngafu nkanu
okey hongera sana rubiiHapana ila ni Kweli tulimshangilia sana!