Diamond Platnumz katisha

Diamond Platnumz katisha

Mondi bana mi nilikua simkubali kabisa daaaah lakin juhudi za mshkaji ikabidi nizipigie salute tu,kiukweli jamaa anajitambua yeye ni nani na anataka kuwa nani,co kama wasanii wengine wanaishia kutupa historia tu za mambo ya zamani au eti wameshawahi kufanya nin akati era imebadilika na wadau tunataka kuona mafanikio ya wasanii tunaowasapoti,sasa kuanzia Leo mimi ni team Mondi NUKTAAAA.....
 
Maadui wanamkubali Mondi tatizo hawawezi kutamka hadharani kuwa wanampanda kwa kuogopa kuonekana wasaliti.

Mondi ni tishio hapa nchini, hata Ndovu anataka kuwa kama Mondi.
 
kiukweli kijana wetu katsha sn n baada ya kutua bungen na kushangiliwa na wabunge wa pande zote mbili bila kujali itikadi ya vyama vyao... nafkir ndio msanii wa kwnz nchin kupata mapokez ya nguvu kutoka kw wabunge wetu... ifikie wakat iz team zote zikae chini zimpe heshima icon wetu maana hana mpinzan.
DAAH .. HUYU DIAMOND NI KICHWA ANAJUA MZIKI SANA KALITEKA SOKO LOTE LA MZIKI..HUYU JAMAA ANA DAMU YA AMERIKA BUT ALIZALIWA BONGO.. JAMAA ANAJUA SANA HANA MSHINDANI HAPA BONGO..HUYU JAMAA ANGETAKIWA AZALIWE USA NDIO KUNA WASHINDANI SIZE YAKE.. KUZALIWA HAPA BONGO ANASHUSHA/ANAUA KIPAJI CHAKE KIKUBWA KUPITILIZA...HAPA BONGO KUNA CHURA FLANI ANATAKA KUSHINDANA NAO..
 
Back
Top Bottom