Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
Ukisoma mpaka unapata kinyaaKatika kuandika kwake ametumia lugha gani?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na bado atasemaa yotee,
2023 bado anatumia mbinu za 2003 kweli? Diamond kwa ukubwa anaopewa, nyimbo ndio zingekuwa zinaongea sio mikwara..! Jay Melody yupo kimya ila nyimbo mpk chooni zinapigwaUkiona hivyo Kuna magoma kadhaa anajiandaa kuyaachia,kaeni tu mkao wa kula.
huyo Jay Melody2023 bado anatumia mbinu za 2003 kweli? Diamond kwa ukubwa anaopewa, nyimbo ndio zingekuwa zinaongea sio mikwara..! Jay Melody yupo kimya ila nyimbo mpk chooni zinapigwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Duh, ukisikia sura za kazi.Matangazo ya hivi huwa yanawahi kubuma tupa hapa tunashuhudiaView attachment 2673620
Ila niggers. Utadhani reptilesMatangazo ya hivi huwa yanawahi kubuma tupa hapa tunashuhudiaView attachment 2673620