Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
Ukiona hivyo Kuna magoma kadhaa anajiandaa kuyaachia,kaeni tu mkao wa kula.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukisoma mpaka unapata kinyaaKatika kuandika kwake ametumia lugha gani?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na bado atasemaa yotee,
2023 bado anatumia mbinu za 2003 kweli? Diamond kwa ukubwa anaopewa, nyimbo ndio zingekuwa zinaongea sio mikwara..! Jay Melody yupo kimya ila nyimbo mpk chooni zinapigwaUkiona hivyo Kuna magoma kadhaa anajiandaa kuyaachia,kaeni tu mkao wa kula.
huyo Jay Melody2023 bado anatumia mbinu za 2003 kweli? Diamond kwa ukubwa anaopewa, nyimbo ndio zingekuwa zinaongea sio mikwara..! Jay Melody yupo kimya ila nyimbo mpk chooni zinapigwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Duh, ukisikia sura za kazi.Matangazo ya hivi huwa yanawahi kubuma tupa hapa tunashuhudiaView attachment 2673620
Ila niggers. Utadhani reptilesMatangazo ya hivi huwa yanawahi kubuma tupa hapa tunashuhudiaView attachment 2673620