lukelo sakafu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 2,938
- 517
watu na nyota zao...........
tatizo nyota...
Rais anapenda vijana wanaojituma . Hata wewe ukiwa unajituma na kuiletea sifa Nchi utakuwa unaenda kama msalani
analeta tuzo adimu ambaz6 we hunaHuyo dimond anajituma kwa lipi??? Anaingizia nchi pato gani mi naona huwa washabiki wake asilimia 90 ni wajinga
analeta tuzo adimu ambaz6 we huna
Taifa likitangazwa tija lazima ipoTuzo zipi?? Tuzo unazila?? Za kukata viuno zina tija gani?? Kwako na kwa familia yako?? Acha kuendekeza wehu
Taifa likitangazwa tija lazima ipo
kuna ubaya kwan kuongea na rais mwenzie