Diamond Platnumz kualikwa Ikulu kila wakati, kunani?

Diamond Platnumz kualikwa Ikulu kila wakati, kunani?

hahahaahaaa.... bora ukabembeleze mtoto wa jirani kuliko kujaribu kumwelewesha... sana sana hapo akirudi tena utamsikia "sasa ndo nini, mashabiki ndo nini? kwani hao mashabiki hawana kwao...!" Nchi ina majanga hii, we acha tu!!

Hahahaaa eti nchi ina majanga hii!
 
binti kiziwi, yaani unapoteza muda wako kwa huyo omari londo? Ukiangalia ambayo ilitaka kuwa post #54 , utakuta kuna post pale nili-delete! Hiyo post nilikuwa namwelewesha jambo huyo ndugu sasa baadae, nikaanza kuzisoma post zake zingine, sikuona cha maana anachoongea na hapo nikagundua kujaribu kumwelewesha mtu kama huyu ambae wala haelekei kama anelewa chochote ni kupoteza muda... nikaamua ku-delete ile post ili aendelee kubaki na ujinga wake!

Mnanilazimisha nishabikie wehu?? Nchi la hovyo kama hilo lenu kuna nini cha maana??? Kushabikia wehu
 
mnanilazimisha nishabikie wehu?? Nchi la hovyo kama hilo lenu kuna nini cha maana??? Kushabikia wehu
binti kiziwi, yaani unapoteza muda wako kwa huyo omari londo? Ukiangalia ambayo ilitaka kuwa post #54 , utakuta kuna post pale nili-delete! Hiyo post nilikuwa namwelewesha jambo huyo ndugu sasa baadae, nikaanza kuzisoma post zake zingine, sikuona cha maana anachoongea na hapo nikagundua kujaribu kumwelewesha mtu kama huyu ambae wala haelekei kama anelewa chochote ni kupoteza muda... Nikaamua ku-delete ile post ili aendelee kubaki na ujinga wake!
[/quote] keep-talking-and-i-ll-keep-ignoring-you.png

Hammer.gif Hammer.gif
 
Wewe ndo hujui unacho ongea uji elewi ht uko wp negative man ndo Mimi kwa malofa km ww na huyo ndomo wako uwezi kunilazimisha nishabikie malofa get lost mayo de puta

Ww boya sana na ujielewi,me sikulazimishi humkubali jamaa but iyo hali halisi,jamaa yupo juu bana,huo ndo ukweli hata kama hautaki,tu sais quoi,tu es salope toi,grande cochons
 
Kwa muziki Wa ndomo?? Mziki gani ule bora angerudi akauze dagaa kwao tandale mashabiki wake wengi ni low class

Ww unaonekana mtt wa uswahilini kabisa,ndo wale mnakuwa wakubwa kwa mlo mara moko,Me si shabiki wake sema napenda nyimbo zake lakin naamini me nipo high class than u cochons.......enfoiré
 
Ww unaonekana mtt wa uswahilini kabisa,ndo wale mnakuwa wakubwa kwa mlo mara moko,Me si shabiki wake sema napenda nyimbo zake lakin naamini me nipo high class than u cochons.......enfoiré

Ndo maana nasema humu yamejaa majinga kama ww mwingine nazidi kuyaokota tu hata iyo cochons hujui kuandika

Yaani mnatumia nguvu mpk kutukana kwa ajili ya wehu km unamkubali MPE mkeo hahahahah

Dah raha sana kuitawala mizombi
 
Ndo maana nasema humu yamejaa majinga kama ww mwingine nazidi kuyaokota tu hata iyo cochons hujui kuandika

Yaani mnatumia nguvu mpk kutukana kwa ajili ya wehu km unamkubali MPE mkeo hahahahah

Dah raha sana kuitawala mizombi

wewe usiemkubali unafanya nn??? huwez kulazmisha kumchukia aisee
 
sina uhakika km huyo dimond kampagawisha kaka mkubwa kiasi kwamba kila tym aende ikulu sema nn mengi cc twayajua bora ninyamaze nisije pigwa mawe
 
Back
Top Bottom