brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,879
- 7,386
Diamond platnumz ameendelea kudhihirisha ukubwa wake baada ya kuchaguliwa kutumbuiza kwenye tamasha kubwa la Music nchini Malawi .
Diamond amechaguliwa baada wananchi wengi kupendekeza .
Sand music festival ndo tamasha kubwa zaidi nchini malawa likijumuisha wasanii mbalimbali ndani na nje ya Malawi likifanyika kwa siku 3 mfululizo kuanzia tarehe 28 hadi 30 mwezi huu
All the best platnumz
Diamond amechaguliwa baada wananchi wengi kupendekeza .
Sand music festival ndo tamasha kubwa zaidi nchini malawa likijumuisha wasanii mbalimbali ndani na nje ya Malawi likifanyika kwa siku 3 mfululizo kuanzia tarehe 28 hadi 30 mwezi huu
All the best platnumz