Huyu dogo aachwe bwana anajua sana tu
wa mchangani watupishe[emoji41]
Team kibakuli "Wanakodoa koodo"
Wa Malawi walimfata show ya kyela mbeya sembuse kwenda kwao haya washaaa moto washaa[emoji91][emoji91][emoji91] songaa ugali songa wamekodoa kodooo wanakodoo wamchangani macho kodooo[emoji32][emoji32] chibudeee
HahahahahahaLakini Chris Brown wala wizkidayo hawatakuwepo
Kinachomsaidia chibu dangote anayo nidhamuHuyu dogo aachwe bwana anajua sana tu
[emoji106] [emoji106]Mkuu hili jina lako limenikumbusha 24!
Asante sana.
Kutoka wapiNgoja wanakuja.
Facebook na Instagram.Kutoka wapi