sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
kerubi kwenye level ya uzombie.Kerubi kama kerubiiiiii
🤣🤣🤣🤣🤣Afadhali aisee utapata kijiwe kipya cha kufanyia uchawa
Dogo ino pia najua utakua hapo club mara kwa mara.🤣🤣🤣🤣🤣
Achana Na Hawa Chawa, Ndorobo, Kupe, Papasi, Mbung'oMwanamuziki namba Moja Afrika
Bila shaka mkuu,ndiye Baba Levo huyuBila kupepesa macho,huyu alieleta hii habari ni baba levo tuu
Shangaa wewe mkuuMwanamuziki namba Moja Afrika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Namba moja Africa..[emoji23][emoji23] sawa chawa ahsante kwa taarifa