Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,195
- 13,785
Hapendi shoboKing Kiba alikataa mualiko. Si unajua jamaa hapendi sifa.
[emoji16][emoji16][emoji16]noma kwelKing Kiba alikataa mualiko. Si unajua jamaa hapendi sifa.
Na kiba ndo mgeni rasmi ila no information till now kweli hapendi show-off
Kumtenganisha msanii na sifa ni sawa na kutenganisha sukari na chaiKing Kiba alikataa mualiko. Si unajua jamaa hapendi sifa.
Kiukweli si sahihi kumlinganisha Diamond na Ali Kiba japo Kiba na baadhi ya mashabiki wake wanajitahidi sana aonekane kama ndiye mshindani namba moja wa Diamond kwa hapa nchini kwetu. Diamond yupo juu sana.sio hapend show off, ni kwamba hana kitu kwenye game
The fact is to be there,Daimondi ataimba asubh.. [emoji23]
[emoji1787] loolKing atatangulia kw ajili ya shoo ya kufagia uwanja... Yeee babaa!