Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,195
- 13,785
Kijana wa tandale atatamba tena kwenye tamasha kubwa la ESSENCE FESTIVAL CULTURE ambalo litakua linajumuisha mastaa kibao kutoka pande zote za Dunia akiwemo Burnaboy pia kutoka Nigeria.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapendi shoboKing Kiba alikataa mualiko. Si unajua jamaa hapendi sifa.
[emoji16][emoji16][emoji16]noma kwelKing Kiba alikataa mualiko. Si unajua jamaa hapendi sifa.
Na kiba ndo mgeni rasmi ila no information till now kweli hapendi show-off
Kumtenganisha msanii na sifa ni sawa na kutenganisha sukari na chaiKing Kiba alikataa mualiko. Si unajua jamaa hapendi sifa.
Kiukweli si sahihi kumlinganisha Diamond na Ali Kiba japo Kiba na baadhi ya mashabiki wake wanajitahidi sana aonekane kama ndiye mshindani namba moja wa Diamond kwa hapa nchini kwetu. Diamond yupo juu sana.sio hapend show off, ni kwamba hana kitu kwenye game
The fact is to be there,Daimondi ataimba asubh.. [emoji23]
[emoji1787] loolKing atatangulia kw ajili ya shoo ya kufagia uwanja... Yeee babaa!