Justine_Dannie
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 1,962
- 1,618
He won't even be there.. "physically"The fact is to be there,
About the Time to perform let it be as planned!
Watu walikimbia umande mkuuHawataperformance wote kwa pamoja physically bali itakua 'virtual' kutokana na janga la corona. Someni kwa kuelewa sio unapost kwa mihemuko. Tamasha la mwaka huu litakua virtual.
"Media, technology and commerce company Essence announced on Friday (June 19) that for the first time in its 25 year history, their annual festival will be going virtual."
Na tafsiri ya neno 'virtual' ni "not physically existing as such but made by software to appear to do so."
Yupo kwenye magroup yake uko saiz anashare mshumaarobidinyo, "ze mnyama mkali" mwenye magroup yake whtsup, tafadhali tupe update za ushiriki wa king uchwara maana yeye hapendi sho ofu
we unatakajeTutacheza CD style za maiko jakson au live performance?
Mmmmmh mbona maelezo meeengi.Iwe physically or spiritually cha msingi atashiriki kwenye tamasha IMEISHA HIYOHawataperformance wote kwa pamoja physically bali itakua 'virtual' kutokana na janga la corona. Someni kwa kuelewa sio unapost kwa mihemuko. Tamasha la mwaka huu litakua virtual.
"Media, technology and commerce company Essence announced on Friday (June 19) that for the first time in its 25 year history, their annual festival will be going virtual."
Na tafsiri ya neno 'virtual' ni "not physically existing as such but made by software to appear to do so."
Amenunua hiyo nafasiKijana wa tandale atatamba tena kwenye tamasha kubwa la ESSENCE FESTIVAL CULTURE ambalo litakua linajumuisha mastaa kibao kutoka pande zote za Dunia akiwemo Burnaboy pia kutoka Nigeria.
View attachment 1484252
What is your point ?Hawataperformance wote kwa pamoja physically bali itakua 'virtual' kutokana na janga la corona. Someni kwa kuelewa sio unapost kwa mihemuko. Tamasha la mwaka huu litakua virtual.
"Media, technology and commerce company Essence announced on Friday (June 19) that for the first time in its 25 year history, their annual festival will be going virtual."
Na tafsiri ya neno 'virtual' ni "not physically existing as such but made by software to appear to do so."
Ila kuna wabongo wana chuki na roho mbaya , shetani wa ccm haoni ndani.Mmmmmh mbona maelezo meeengi.Iwe physically or spiritually cha msingi atashiriki kwenye tamasha IMEISHA HIYO
Lilifanyika lini hili🤔🤔🤔Kijana wa tandale atatamba tena kwenye tamasha kubwa la ESSENCE FESTIVAL CULTURE ambalo litakua linajumuisha mastaa kibao kutoka pande zote za Dunia akiwemo Burnaboy pia kutoka Nigeria.
View attachment 1484252