Diamond Platnumz: Mimi ni kama maji usipoyanywa basi utayaoga, awaonya wanaoibania WCB

Ye kaongea hivyo and he meant it. Sasa wewe chukulia unavyotaka.
 
Katusua ila apunguze pride zisizo na msingi. Au aendelee kupambana na wengine asifocus kwetu a focus kwa level za kina wizkid huko.
Pride comes before a fall.
Apunguze kibri si maungwana!!!na haipendezi!
 
Huyo Ndomo ashajiona amekuwa SHUJAA sana wa MAISHA.

Anyway, YETU MACHO !
 
Uko sawa kabisa DP..!
Muda wa kuwaramba watu makalio haupo..!
Ahahaaaah..!
 
Huyu mjomba anagawa ajira lakini majobless bado wanamchukia tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…