Unamfwatilia Wizkid kweli Ww? Emb kamfwatilie tenaa tena Mara 10 Mondikwahiyo wizzkid ..run town .Casper nyovest ..wamezaliwa wakakuta kwao zipo...wewe Jamaa bwana ...umeshawahi kuskia wana mashauzi yakiboya...Jamaa yenu ana paswa kuwa gentleman aiseee
hii hoja yako nimeshaijibu mkuu "" kuna mtu alikuja na hoja yenye mfanano na hii nanikampa majibu ..so fuatilia Uzi vyema utakutna na hayo majibu """Unamfwatilia Wizkid kweli Ww? Emb kamfwatilie tenaa tena Mara 10 Mondi
Am gonna make you famous... Hii huwa inanikela sana japo ndo ukweli ha ha haAna pesa kuliko Diamond
Anapiga show nyingi kuliko Diamond
Ametoa hit songs nyingi kuliko diamond na ana haters wengi kuliko diamond kutokana na umaarufu wake.
Na ndiye alo mtoa diamond kimataifa.
Ngoma ikivuma sana vuuuu vuuuuu....jua inakaribia kupasuka. (R.I.P Kanumba)Hivi diamond angekuwa amefikia mafankio kama ya Davido inaonekana tusinge kaa nchini hapa
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Ngoma ikivuma sana vuuuu vuuuuu....jua inakaribia kupasuka. (R.I.P Kanumba)
Yaani mnatia aibu kwa wivu wa kishamba kabisaTell them tell them
Yaani wanavyomsujudia huyo zari hana chochote!!!!
Sio maneno yangu hivyo sijui, maana hata alieyasema mwenyewe alipovuma sana vuuuuuu vuuuuuuu.... Yalomkuta wote tunayajua[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Kwa hiyo hii inakaribia kupasuka eeh?