Diamond Platnumz na Ali Kiba wakutana mubashara kwenye msiba wa Masogange na kupeana mikono

Diamond Platnumz na Ali Kiba wakutana mubashara kwenye msiba wa Masogange na kupeana mikono

Papaa Mobimba

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2018
Posts
882
Reaction score
3,337
DbYm6ODWAAAmXzK.jpg
 
Kulikuwa kuna shida gani ya kusimama na kusalimiana na Diamond?
Diamond ametoka alipokuwa ili kwenda kumsalimia lakini katika hali isiyo ya kawaida, Ali Kiba akaonyesha umwinyi wa hali ya juu kwa kupokea mkono wa Diamond huku akiwa ameketi.
55da6ccf70989bb1c5a3e3117a2ccf1b.jpg
 
Kwani Hujui Yeye Ni Kaka Kwa Diamond?Wewe Ukiwasalimia Wakubwa Zako Huwaga Wananyanyuka?
Kunyanyuka Ni Ishara Ya Heshima Kwa Wakubwa Au Washkaji Zako
Acha Majungu Kijana Mwenzangu
 
Kwani Hujui Yeye Ni Kaka Kwa Diamond?Wewe Ukiwasalimia Wakubwa Zako Huwaga Wananyanyuka?
Kunyanyuka Ni Ishara Ya Heshima Kwa Wakubwa Au Washkaji Zako
Acha Majungu Kijana Mwenzangu
leta pia majibu ya mkono wa ali k mbona kama kautoa kama mtu anaye hisi kinyaa?
 
Kulikuwa kuna shida gani ya kusimama na kusalimiana na Diamond?
Diamond ametoka alipokuwa ili kwenda kumsalimia lakini katika hali isiyo ya kawaida, Ali Kiba akaonyesha umwinyi wa hali ya juu kwa kupokea mkono wa Diamond huku akiwa ameketi.
View attachment 753306
Umwinyi ni dalili za tezi dume
 
Ninachoamini mimi, Mondi na Kiba sio maadui. Wanafanya namna flani ya mchezo unaofanya wapenzi wa mziki wavutiwe na mziki wanaoufanya hawa watu.
Hiyo vita inatengenezwa na kukuzwa na sisi mashabiki!

Kabisa hawa jamaa sio maadui kabisa, wakikutana nyuma ya makamera huko washikaji wakubwa na mastory wanapiga kama kawa
 
Back
Top Bottom