Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 882
- 3,337
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wivu mkuu si unajua Mond katusua kombe la dunia Urusi.Yooh mbona Kiba mkono anatoa kishingo upande
leta pia majibu ya mkono wa ali k mbona kama kautoa kama mtu anaye hisi kinyaa?Kwani Hujui Yeye Ni Kaka Kwa Diamond?Wewe Ukiwasalimia Wakubwa Zako Huwaga Wananyanyuka?
Kunyanyuka Ni Ishara Ya Heshima Kwa Wakubwa Au Washkaji Zako
Acha Majungu Kijana Mwenzangu
Umwinyi ni dalili za tezi dumeKulikuwa kuna shida gani ya kusimama na kusalimiana na Diamond?
Diamond ametoka alipokuwa ili kwenda kumsalimia lakini katika hali isiyo ya kawaida, Ali Kiba akaonyesha umwinyi wa hali ya juu kwa kupokea mkono wa Diamond huku akiwa ameketi.
View attachment 753306
Ninachoamini mimi, Mondi na Kiba sio maadui. Wanafanya namna flani ya mchezo unaofanya wapenzi wa mziki wavutiwe na mziki wanaoufanya hawa watu.
Hiyo vita inatengenezwa na kukuzwa na sisi mashabiki!
Ndio maana mimi nawakubali wote. Mambo ya team yanatengenezwa kibiashara zaidi.Kabisa hawa jamaa sio maadui kabisa, wakikutana nyuma ya makamera huko washikaji wakubwa na mastory wanapiga kama kawa
Umwinyi ni dalili za tezi dume