joely sandu
JF-Expert Member
- Nov 24, 2017
- 1,962
- 1,818
DuuuuuuNdio maana mimi nawakubali wote. Mambo ya team yanatengenezwa kibiashara zaidi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuuuuuuNdio maana mimi nawakubali wote. Mambo ya team yanatengenezwa kibiashara zaidi.
Ndio maana mimi nawakubali wote. Mambo ya team yanatengenezwa kibiashara zaidi.
Yap, mkuu hawa ni icons za taifa letu, kuwapa support ni kitu cha maana sana.Mkuu wewe kama mimi tu woye hao wanajua sana tu, na nawakubali wote
Hahahahaha we kweli roboti LA matopeAnapenda umwinyi kwa sababu upombe so mzuri
Kwa mbaaaaali mwisho kabisa namuona Le Mutuzii
Diamond muungwana sana, ndio kaenda kumsalimia Ali Kiba
kiba100 =GubuYooh mbona Kiba mkono anatoa kishingo upande
alafu wewe zabibu uje pm mara moja tuteteHahaha the King..
Watu mnapenda Kuelezea vitu kwa fahamu zenu zinavyowatuma.
Pengine hakumaanisha chochote kibaya.
Hao ni Icon ya mziki wa Kimarekani na siyo wa Kitanzania ukiwasema hao akina Tx Moshi, Mbalaka, Bitchuka, Ngurumo n.k. utawaitaje?Yap, mkuu hawa ni icons za taifa letu, kuwapa support ni kitu cha maana sana.
Utakuwa umechanganya comment ndugu.alafu wewe zabibu uje pm mara moja tutete
Kulikuwa kuna shida gani ya kusimama na kusalimiana na Diamond?
Diamond ametoka alipokuwa ili kwenda kumsalimia lakini katika hali isiyo ya kawaida, Ali Kiba akaonyesha umwinyi wa hali ya juu kwa kupokea mkono wa Diamond huku akiwa ameketi.
Kwa wanasaikolojia wataelewa kwann kiba katoa salamu kwa staili hiyo!! Ina maana yake.