Diamond Platnumz na Ali Kiba wakutana mubashara kwenye msiba wa Masogange na kupeana mikono

Katoa mikono yotee kwa heshima ya kumwamkia mkubwa wake na kazi
 
Bila bifu Kibamia hmana kitu. Hapendi bifu liishe kabisa. No bifu no Ally kiba
 
Kwa maoni yangu na kwajinsi hali ya uhasama baina ya vijana hawa wawili wa bongo flavour ulivyokuwa hapo awali nilitegemea siku ya kuuaga mwili wa masogange kwenye viwanja vya leaders ndio ungekuwa mwanzo mzuri wa kumaliza tofauti zao kwa kukumbatiana kama ishara ya upendo baina yao, lkn wkt mond anamsalimia kiba, huyu kijana alikuwa amekaa badala ya kusimama kuthamini umuhimu wa mwenzake, hii ni dharau na sio uungwana hata kidogo, wenye povu ruksa lkn huu ni mtazamo wangu.
 
Kweli kiungwana ilitakiwa naye asimame hasa ukizingatia meza nzima wamesimama. Kama sio dharau basi tuseme ni kutojua itifaki kwenye matukio makubwa yanayohusisha watu wakubwa na maarufu. Katika hali ya kawaida hapo hata angekuwa rais angesimama labda asema alikuwa anaumwa miguu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…