Kumbe? Hivi Bill Gates ni Dr? Facebook founder ameajiri watu wa ngapi?ana PhD Bakhresa Je? Kama hoja ni Utanzania.
Slimsalim, Yes mkuu umenena vyema wanastahili heshima kinachonifurahisha zaid ni kuwa wote hao wametoka familia za kiuswaz lakin wameweza kutusua.
Hizi story tumezichoka nchi hii ina mambo mengi ya maana ya kufuatiliwa kipindi hiki ndo maana akili zinakuwa zimelala lala tu
KakurupukaWewe kweli ni kilaza, kwani ni mara ya kwanza huyo Wizkid kuja Bongo? Watu wamewaleta akina Jay Z, 50 Cent na wengine kibao na hawajapewa hiyo PhD.
Hata wewe unaweza kuwa kilaza hatuzungumzii wasanii wangapi waliowah kuja hapa Tanzania tunachozungumzia hapa ni msanii aliye na ushawishi na kukubalika na wasanii wakubwa.
Chuo gani kitatoa? Chuo kikuu cha Tandale?
Acheni mahaba
Mkwawa, mirambo, rumanyika, mputa,kimweri na kinjeketile ngwale wanahitaji phd zaidi....wengi tu
Diamond hajafikisha heshims za akina marijani rajabu
Umekurupuka, umepagawa
Ushawishi bila pesa,. Hao Pesa ndo Imewaleta hapa.. Na Si Ushawishi wa Diamond Hao wanaweza kuletwa hata na Ebitoke kama pesa anayo..
Alilolifanya Diamond ni jambo la Kawaida watu Walishafanya sana.. Anayofanya ni Marudio
kwani wakipewa hao kina mirambo wakina marijan rajabu hazitawatosha hizo PHDs? wote??simaanishi apewe Diamond peke ake,wapewe ote walioleta mabadiliko chanya kwa Taifa!!
Diamond afanye kitu gani kingine ambacho kingestahili apate Recognisation??
Naunga mkono hojaTusubiri kwanza, Samatta namkubali ila hastaili kupewa tuzo yoyote. Hakuna mafanikio yoyote aliyotuletea.
Tusubiri huko mbeleni Taifa letu likichukua kombe la AFCON au likishiriki Kombe la Dunia.
Huna logic,unaongea kishabiki tu,pinga hoja kwa hoja sipo kubishana apa,kurupuka na wewe mkuu