Chinedu5
JF-Expert Member
- Apr 20, 2015
- 763
- 2,755
- Thread starter
- #21
sijui kuhusu Mark Zuckerberg na Gates,ila angalia background ya Bakhresa na Diamond ni sawa??alafu kama unajua kusoma vizuri sijamaanisha wote waliotoa ajira wapewe PHD,hapa Tanzania kuna watu wametoa ajira kwa watu hata 1000+,kwa hiyo kwa kigezo hicho PHD zitajaa!!Ebu ukisoma fikiria kidogo,jenga logic ndo u comment
Kumbe? Hivi Bill Gates ni Dr? Facebook founder ameajiri watu wa ngapi?ana PhD Bakhresa Je? Kama hoja ni Utanzania.