Diamond Platnumz na Mbwana Samatta wanastahili kutunukiwa PhD ya heshima

Diamond Platnumz na Mbwana Samatta wanastahili kutunukiwa PhD ya heshima

PANTHERA LEO, Samatta anatubeba waTZ sn mkuu, hasa kwa vijana wanaocheza mpira, Angalia leo Ambokile na yule Messi wa Azam wapo TP Mazembe, imechangiwa na reputation aliyoitengeneza Samagoal pale Lubumbash, Huwezi kujua ya miaka mitatu mbeleni, inawezekana wachezaji wa kibongo wakazidi kwenda International zaidi kwa mchango wa Samagoal huyu huyu.
 
Swala sio ametoka wap,swala ni amefika wapi?hiyo shule ya private alosoma na maisha aliokulia alikuwa peke ake??ni wangap waliotoboa??
Diamond hajatoka kwenye maisha ya chini sana..kasoma private school .kukaa Tandale sio sababu..huwezi kufananisha na maisha duni ya vijijini..hivi mashairi ya nyimbo za Diamond unaweza kuyahifadhi kwenye kitabu wanafunzi wasome fasihi?
 
Labda wapate kutoka Amazon college incase wanataoa PhD
 
Wizkid na tiwa hata mimi nikiamua nawaleta bongo,kwani sh ngapi hata $10000 haifiki,ila salute kwa mtu aliyewaleta Rick Ross na fifty
 
Wizkid na tiwa hata mimi nikiamua nawaleta bongo,kwani sh ngapi hata $10000 haifiki,ila salute kwa mtu aliyewaleta Rick Ross na fifty
Acha wee ,kajaza Arena UK inayoingiza watu 20 elfu unazani swala dogo.We jichekeshe alafu ucheke mwenyewe ila Wizkid bila dola 150,000 hujampata.

Show za ya private mwenzako mmoja wa India alilipa zaidi ya USD 680,000 ili kumpata Wizkid aje kupiga show kwenye harusi yake.

 
Niende kwenye mada moja kwa moja.

Kwa msanii kama Wizkid na Tiwa Savage kuja Tanzania, kualikwa na mtoto wa Tandale, mtoto alielelewa na single mother kwa maisha ya kubangaiza, mtoto ambaye hata Form 4 hajamaliza kama kamaliza basi kafeli) ni bonge la achievement.

KiukwelI Diamond kaleta mabadiliko makubwa mno na anastahili sanamu lake liwekwe pale mjini posta,na kumbukumbu zake ziwekwe makumbusho ya taifa, apewe hata PhD ya heshima akiwa hai tusisubiri afe ndo tuanze unafiki! Leo hii Diamond ameajiri watu zaidi ya 200, wenye elimu kumzidi na wasio na elimu. Watanzania tuweke unafiki na ushabiki pembeni, tuanze ku- appreciate vya kwetu.


Pia kuna mtu kama Samatta (SamaGoal), naye anastahili heshima ya PhD na sanamu lake liwekwe pale nje Uwanja wa Taifa.

Wapo wengi sana walioleta mabadiliko kwa nchi yetu tuwaenzi hawa ma living legends wetu tusisubiri wafe ndio tuanze UNAFIKI!!
Kwa samata hapana, ila diamond anastahili.
 
chin nmeandika "wapo wengi wanaostahili" kwa hiyo si diamond peke ake!
Katuni za Soud unaweza tengeneza mtaala kabisa, sio hizi nyimbo ambazo inafikia pahali huwezi sikiliza hata na wazazi.
 
Weee ebu acha ujinga usiwe mropokaji kama msukuma

Mo kaajili watu zaidi ya laki na nauhakika hata wewe au ndugu zako wananufaika katika hili kupitia yeye

Mo kasaidia kaitangaza tanzania kimataifa kwa utajiri wake akiwa bado kijana. Sasa diamond kasaidia watu 200 na nauhakika katika hao watu 200 hauna ndugu hata mmoja anayenufaika na ajira hiyo lakini bado tu unataka achongewe sanamu serious??
 
Slimsalim,
Yaani ni kama umesema K-Lynn anastahili PHD pale KIA kuwakumbusha wanawake wa kichaga wote jinsi alivyomnaniliu mzee wa kimachame mpaka akanyima watoto wake wa ndoa ya kanisani urithi na kumpa yeye. Yaani kawapiga kwenye game walilomfundisha wenyewe 😂😂
 
Back
Top Bottom