Diamond Platnumz na Nandy, waambieni wanaowatumia kamwe dunia haitarudi nyuma!

Hii ndio shida ya kila mtu kujua kufungua ID jf na kupost....atakayeelewa hili andiko aniTAG tafadhali
 
Mbona hueleweki?
Unasonga na nani kwenda wapi?

Kwani kudiscourage matumizi ya mitandao lazima ifanyike kwa kurekodi picha za aibu? Tena kwa kushawishiwa?
Mbona hata haiingii akilini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…