Super bilionea toka Mombasa, Imran Kholsa, ameendelea kuthibitisha kuwa pesa kwake si tatizo, akigeuza harusi ya mtoto wake kuwa tukio la mwaka
Ni baada ya kutenga kiasi cha dola 1,350,000 (sawa na shilingi za Kitanzania bilioni 3) kwajili ya Diamond Platnumz na Nandy kutoa burudani kwenye harusi ya kifahari ya mtoto wake, Zakir. Hafla hiyo ilifanyika jijini Mombasa na kuhudhuriwa na viongozi mashuhuri, akiwemo Rais wa Kenya na Gavana wa Mombasa.
Nandy - Dola 350,000 ( Shilingi milioni 826)
Diamond - Dola 1,000,000 (Shilingi Bilioni 2.3 )
Ni baada ya kutenga kiasi cha dola 1,350,000 (sawa na shilingi za Kitanzania bilioni 3) kwajili ya Diamond Platnumz na Nandy kutoa burudani kwenye harusi ya kifahari ya mtoto wake, Zakir. Hafla hiyo ilifanyika jijini Mombasa na kuhudhuriwa na viongozi mashuhuri, akiwemo Rais wa Kenya na Gavana wa Mombasa.
Nandy - Dola 350,000 ( Shilingi milioni 826)
Diamond - Dola 1,000,000 (Shilingi Bilioni 2.3 )