Why 2b wakati hata angetoa offer ya 200m wangekubali
ndio ufahamu mkuu kuwa ni uzushi, hujawazoea wasanii wa kibongo kwa kujipaisha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Why 2b wakati hata angetoa offer ya 200m wangekubali
East Africa hakuna tajiri mwenye hzo pesa za mchezo,anayeamini Diamond kapewa hzo pesa ni kichaa,Mukesh Ambani ambaye ni tajiri no 6 duniani alimlipa Rihanna 8b katika pre wedding ya mtoto wake na ikawa story dunia nzima.East Africa haina tajiri ambaye yuko hata 10 bora ya Africa.Beside hakuna watu wanaoijua pesa kama matajiri Diamond akipewa offer hata ya 250 atakimbilia hyo offer kwa miguu why mtu atoe 2b.wasanii wetu wanadhania kila mtanzania ni mjinga.ndio ufahamu mkuu kuwa ni uzushi, hujawazoea wasanii wa kibongo kwa kujipaisha?