Diamond Platnumz na Samatta nani ana mshiko mrefu?

Diamond Platnumz na Samatta nani ana mshiko mrefu?

Hivi kati ya Diamond Platnumz na Samatta nani anaweza kuwa na pesa nyingi kumzidi mwenzie? Mimi naona Samatta, kuishi Ulaya zaidi ya miaka nane halafu kucheza Aston villa huku unalipwa milion Mia kwa wiki hii ni wazi kuwa Samatta ana mpunga mrefu sana ila hajataka kuyaweka wazi mafanikio yake ya kipesa.

Diamond Platnumz yeye ni tajiri wa magari na show off.
Ukishajua itakuwaidia nini shehe wangu.
 
Jamiiforums ina watu wa hovyo tu. Jamaa lengo lake halikuwa baya kabisa

Kimtazamo diamond na samata mimi naona samata yupo njema sana kuliko diamond kwa kuwa signing fee yake tu ni hela diamond anaifukuzia hata miaka mitatu.
 
Hivi kati ya Diamond Platnumz na Samatta nani anaweza kuwa na pesa nyingi kumzidi mwenzie? Mimi naona Samatta, kuishi Ulaya zaidi ya miaka nane halafu kucheza Aston villa huku unalipwa milion Mia kwa wiki hii ni wazi kuwa Samatta ana mpunga mrefu sana ila hajataka kuyaweka wazi mafanikio yake ya kipesa.

Diamond Platnumz yeye ni tajiri wa magari na show off.
Hapo kitaani kwako unakamata namba ngapi ndugu?.
 
Kijana unahitaji mafuta ya kukaangia sambusa.
Sexual_Misconduct_Diddy_39380.jpg
 
Hivi kati ya Diamond Platnumz na Samatta nani anaweza kuwa na pesa nyingi kumzidi mwenzie? Mimi naona Samatta, kuishi Ulaya zaidi ya miaka nane halafu kucheza Aston villa huku unalipwa milion Mia kwa wiki hii ni wazi kuwa Samatta ana mpunga mrefu sana ila hajataka kuyaweka wazi mafanikio yake ya kipesa.

Diamond Platnumz yeye ni tajiri wa magari na show off.
Domo ameajiri wstu kadhaa anawalisha....analipa kodi kibao za nchini haoa bado fujo mandinga nazo....unataka nn sasa??
 
Hivi kati ya Diamond Platnumz na Samatta nani anaweza kuwa na pesa nyingi kumzidi mwenzie? Mimi naona Samatta, kuishi Ulaya zaidi ya miaka nane halafu kucheza Aston villa huku unalipwa milion Mia kwa wiki hii ni wazi kuwa Samatta ana mpunga mrefu sana ila hajataka kuyaweka wazi mafanikio yake ya kipesa.

Diamond Platnumz yeye ni tajiri wa magari na show off.
Hii inakusaidia nini?
 
Back
Top Bottom