Diamond-Platnumz na Wema Sepetu(MAMA 2014) walitisha, couple zuri sana

Diamond-Platnumz na Wema Sepetu(MAMA 2014) walitisha, couple zuri sana

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,277
Reaction score
8,860
ImageUploadedByJamiiForums1402222661.788724.jpgKiukweli kama kupendeza diamondplatnumz na wema sepetu Jana walitisha couple nzuri sanaa
 
Ooyooo imependeza sana na ikifika siku ya maonyisho ya saba saba na wakaweke bango ya hiyo picha kwenye huwo uwanja ili kila mtu akingea tumjui vizuri
 
Hivi yule mama Wima yuko wapi alivyokuwa anasema eti Diamond anamtumia Wema kupata umaarufu hv sasa hapo nani anamtumia mwenzie
 
sio dharau my point nikuwa amejitahidi mno kufika hapo
apongezwe na aheshimiwe kwa stage aliyofika....ukilinganisha na alipotoka

I conquer with you The Boss, let the truth be uttered, the grounds of Nasibu and the outcomes are the topic today, kwamba things are possible. Greatly thought.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom