Diamond-Platnumz na Wema Sepetu(MAMA 2014) walitisha, couple zuri sana

Ooyooo imependeza sana na ikifika siku ya maonyisho ya saba saba na wakaweke bango ya hiyo picha kwenye huwo uwanja ili kila mtu akingea tumjui vizuri
 
Hivi yule mama Wima yuko wapi alivyokuwa anasema eti Diamond anamtumia Wema kupata umaarufu hv sasa hapo nani anamtumia mwenzie
 
sio dharau my point nikuwa amejitahidi mno kufika hapo
apongezwe na aheshimiwe kwa stage aliyofika....ukilinganisha na alipotoka

I conquer with you The Boss, let the truth be uttered, the grounds of Nasibu and the outcomes are the topic today, kwamba things are possible. Greatly thought.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…